Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,459
- 29,156
Wadau,
Kuna mdada kaniomba nimsaidie kumpigia Promo nyumba yake iliyoko Kijitonyama, karib na chuo cha Ustawi wa jamii au Grandvilla Hotel.
Nyumba ina vyumba viwili vya kulala, kimoja master, sebule 1 na jiko. Na ni upande unaojitegemea uliopo ndani ya Fence yenye Nyumba mbili.
Parking ipo ya kutosha labda gari 3 na maji yakikatika ujue ni serious problem from dawasco.
Kodi inaanzia laki 3 p.m but maongezi yapo.Kwa muhitaji waweza kucheki na mdada mwenyenyumba thru 0718 944 979
Kuna mdada kaniomba nimsaidie kumpigia Promo nyumba yake iliyoko Kijitonyama, karib na chuo cha Ustawi wa jamii au Grandvilla Hotel.
Nyumba ina vyumba viwili vya kulala, kimoja master, sebule 1 na jiko. Na ni upande unaojitegemea uliopo ndani ya Fence yenye Nyumba mbili.
Parking ipo ya kutosha labda gari 3 na maji yakikatika ujue ni serious problem from dawasco.
Kodi inaanzia laki 3 p.m but maongezi yapo.Kwa muhitaji waweza kucheki na mdada mwenyenyumba thru 0718 944 979