Tumsifu Samwel
JF-Expert Member
- Jul 30, 2007
- 1,407
- 159
Jamani naombeni msaada wenu wa hali na mali, ni nahitaji nyumba ya haraka iwezekanavyo ndani ya wiki hii. Iwe maeneo ya sinza ,kijitonyama,mwenge ,mbezi beach tegeta ubungo.. Iwe na vyumba viwili na sehemu ya park ya gari.Bei isizidi tsh 250,000 laki mbili na nusu nitalipia kwa mwaka mzima....
Ndugu zangu niko kwenye wakati mgumu sana, kwa sasa nipo hotelini kwa wiki ya pili sasa nitashukuru sana kwa mtakao nisaidia kufanikisha jambo ili.
Ndugu zangu niko kwenye wakati mgumu sana, kwa sasa nipo hotelini kwa wiki ya pili sasa nitashukuru sana kwa mtakao nisaidia kufanikisha jambo ili.