Nsabhi
JF-Expert Member
- Feb 23, 2011
- 1,093
- 162
Kama wamevijaza wachimbe vingine. Ikiwa kila kitu watataka serikali ya magamba iwasaidie itakuwa kazi kubwa kuna siku watasaidiwa hata kuzaa pia.
Vyoo hivi wameshavijaza tayari?