OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,235
- 103,879
Mchezaji wa zamani wa Yanga SC na Singida United Kipanya Malapa amefungua biashara ya mishikaki na kachori maeneo ya nyumbani kwao Buguruni.
Kipanya anamshukuru sana mchezaji mwenzie wa Yanga Said Maulidi Kalikula kwa kumuunga mkono na kuomba wadau wengi wapite maeneo ya Buguruni Kona kupata huduma ya mishikaki laini na kachori.
My Take
Feisal komaa mdogo wangu. Wewe sio wa kula ugali chumvi