Nyongeza ya mshahara: Siri yafichuka,nini kilifichwa bungeni na waziri wa utumishi wa umma

Mbona hiyo nyongeza iko poa tu.Kwa mfano kama mimi mshahara wangu wa 5M nyongeza hapo ni sh laki 4 na pesa kadhaa. Vijana fanyeni kazi na acheni kushinda ofisini mkiangalia fb na Jf halaf mnadai mshahara mkubwa.Kwa kazi ipi uliyoifanya?

Huo mshahara wa 5M unaujua au unausikia?! We cheka tu, ngoja utaona wanao watakavyokula majani mwaka kesho!
 
wewe ukiona ongezeko ni dongo huwa kunanjia nyingi za kuongeza kipato ikiwa ni pamoja na kuwa na miradi kadhaa amabayo itakuongezea kipato.

Ni kweli, ili uwe tajiri kuna, njia mbili kubana matumizi (i.e kununua mahitaji ya lazima tu) na pili kuongeza kipato/miradi.
 
ndugu wana jf habari zenu,

nimekuja tena kuwajuza namna serikali ya ccm inavohujumu wafanyakazi wake na hasa walimu,ni hivi majuzi tu walimu waligoma na kupelekea wanafunzi kuhaha huku na kule wakihitaji kupaza sauti zao na hasa wale wa msingi na hata kufika kupeleka lawama kwa serikali kuwa iwalipe walimu kile wanachodai.

Lakini mbaya zaidi serikali ilikimbilia mahakamani na kuitumia hiyo kama kura turufu dhidi ya walimu na hapohapo walimu wakamuuliwa na mahakama kurudi kazini haraka na mezani kujadili madai yao.

Ni kama sikio la kufa halisikii dawa,haki ya mumgu huwezi amini....leo nikiwa ofisi za afisa utumishi.....amenipatia waraka wa nyongeza ya mshahara wa 2013/2014 ukiwa umeonesha dhuluma kubwa sana kwa watumishi wa serikali yetu na kwa hili hatutakaa kimya na tutadai hadi kukuche na ikibidi kuwatoa madarakani,bora tufe huku tumesimama.nyongeza ni 8.4% kwa watumishi wote.tujadili;

1.hivi kweli kwa mfumuko huu wa bei na ongezeko la kodi lilivokubwa hivi hawa wafanyakazi wataacha ufisadi na kutokukaa maofisini?

2.big result now[brn] je itafanikiwa ktk wizara hizi nne ambazo ni elimu,miundo mbinu,kilimo na uchukuzi?

3.hawa walimu hivi kweli watapata moyo tena wa kazi na ikizingatiwa waligoma kudai maslahi yao hadi serikali kwenda mahakamani na kuweka zuio?

4.kwa mfano mimi mwalimu mwenye ngazi ya mshahara ya tgts-d1 inamaana ntakuwa nachukua mkononi 447,654 wakati basic ni 586,789 na mimi ndo muhitimu wa chuo kikuu yani nina shahada,sasa ni kweli ccm wanajali watumishi wa umma na hasa walimu
naona unalalamika tu, hujasema ilitakiwa iongezwe asilinia ngapi, na kwanini?... Bavicha bwana
 
Mbona hiyo nyongeza iko poa tu.Kwa mfano kama mimi mshahara wangu wa 5M nyongeza hapo ni sh laki 4 na pesa kadhaa. Vijana fanyeni kazi na acheni kushinda ofisini mkiangalia fb na Jf halaf mnadai mshahara mkubwa.Kwa kazi ipi uliyoifanya?

Kweli UNAWASHWA! Kama username yako inavyosema.. UNAWASHWA WASHWA wapi mkuu? Takoni au? Anyway... Naamini UNAWASHWA WASHWA mat.akoni.
 
Kaka Kwa maneno yako unaonesha nyongeza ya mshahara haina impact kabisa katika wakati huu mgumu...
 
wewe ukiona ongezeko ni dongo huwa kunanjia nyingi za kuongeza kipato ikiwa ni pamoja na kuwa na miradi kadhaa amabayo itakuongezea kipato.
Thus unataka wafanyakazi wote wawe wafanyabiashara na wachuuzi na je Ni saa ngapi watakuwa commited na kazi? Je, wafanyabiashara wageuke ndo wafanyakazi wa nchi hii? think twice plz
 
hii imekula kwa watimishi wote sio walimu tu, mkapa alithubutu akaongeza mshahara 20% kisha akaja akaongeza 50% leo hii ongezeko la mshahara ni kiduchu mwaka juzi na jana mshahara uliongezwa 8% hiyihiyo . wapi tunakwenda. i cant be a slave any more
 
mkuu usishangae sana. hizo ndo akili za bavicha. bora afe tu maana hana msaada wowote kwa taifa hili. hata wakiingia darasani walimu wa aina hii wanafundisha utumbo tu. angekuwa mwalimu mzuri kama mwalimu wangu Masebo aka baba frank nafikiri kila shule wangemgombania. maana kuna shule kibao za private lakini anashindwa kuchukuliwa huko maana wanajua ni galasa

Umenikumbusha Masebo mkuu
 
wewe ukiona ongezeko ni dongo huwa kunanjia nyingi za kuongeza kipato ikiwa ni pamoja na kuwa na miradi kadhaa amabayo itakuongezea kipato.
Thus unataka wafanyakazi wote wawe wafanyabiashara na wachuuzi na je Ni saa ngapi watakuwa commited na kazi? Je, wafanyabiashara wageuke ndo wafanyakazi wa nchi hii? think twice plz

mweleze huyu. walimu walipoamua kuwa wajasiriamali kwa kuuza ubuyu karanga na maandazi shuleni kama njia ya kijiongezea kipato ni nini kimetokea? haoni mtu anafaulu hajui kusoma na kuandika?
 
Serikali haiwajali watumishi wake na hasa walimu. Serikali ipo radhi ipoteze mabilioni ya shilingi kuhudumia matumizi ya luxury kwa wizara na wakuu wa wilaya. Kufanya teuzi za viongozi wa kisiasa ambazo kimsingi ni mzigo kwa serikali, tena teuzi zenye sura za kulipa fadhila zaidi, teuzi zisizoangalia utendaji. Leo hii Tanzania kunapesa nyingi sana zinapotea serikalini kwa matumizi ambayo hayana tija lakini walimu na madaktari kudai ongezeko la mishara ambayo itaendana na mahitaji ya sasa imekuwa nongwa, imekuwa mzigo kwa serikali. Naomba, na declare interest, mimi ni mwalimu wa ngazi ya shahada BA-ED, na ni mhitimu wa mwaka jana na hivi sasa ni mwalimu wa ajira hizi mpya. Potelea mbali lolote litakalo kuwa na liwe lakini kizazi ambacho mimi nakiandaa mashuleni na nashukuru wanafunzi walio wengi wameanza kunielewa! Kuna section katika madarasa yangu huwa natoa elimu ya uraia kwa wanafunzi. Naomba niseme bila kumung'unya maneno NAWAELEZA WANAFUNZI MAOVU YA CCM na uzembe wa watawala wetu katika kuiendesha nchi hii. Huwa nawaeleza kuwa CCM ndiyo chanzo cha umasikini huu uliowajaa watanzania. Nawaeleza kuwa ni kwa sababu ya CCM elimu yetu imeingiliwa na siasa. Tumezoea kuona wanafunzi wa kidato cha nne waki reseat mitihani lakini safari hii baraza la mitihani ndilo lime reseat mitihani HIZI NI SIASA kwenye elimu. Somo langu la juzi nilianza kuwauliza wanafunzi nani asiyefahamu kuwa CCM ndiyo chanzo cha matatizo mengi? Niliwataka wanyooshe vidole na hawakufanya hivyo, hivyo walionekana kuamini kuwa CCM ndiyo chanzo cha matatizo mengi na hata hivyo wote waliitikia ndiyo. Nikawauliza swali la pili; Unapoona mtu anafanya kosa na akalirudia kosa hilo mara kwa mara licha jitihada anazofanya kutozaa matunda, je huoni mtu huyo anahitaji kusaidiwa na mtu mwengine? Wengi wao walionyesha kukubali na hivyo walikuwa makini kunisikiliza. Nikawambia msingi wa matatizo mengi kutotatuliwa ni kwamba muanzilishi wa matatizo hayo ndiye anajifanya kutaka kuyatutua. Nikaongeza kwa Quotation ya Albert Einstein, mwanafalsafa na mwanamahesabu wa kijerumani " Problems can not be solved by the same level of mindset that created them" wengi walionekana kuvutiwa na hili na maswali yalikuwa mengi sana kutoka kwa wanafunzi. Nikawaambia tuendelee na somo letu la history. Bado nipo kwenye topic ya Nationalism, nipo kwenye sub topic ya Zanzibar nationalism. Wakati tunaendelea na kipindi mwanafunzi akaniuliza swali, Hivi mwalimu ni nani hasa aliyemuua mzee Karume kwa sababu nilisikia kuwa CCM walitekeleza mpango wa kumuua! Nilishangaa sana mwanafunzi huyu kuniuliza swali hilo. Nilijiuliza kwanini kaihusisha CCM na mauaji ya Karume ilihali CCM enzi za kuawa kwa Karume haikuwepo na kama ilikuwepo basi ilikuwepo kwa jina la TANU. Lakini nilichomjibu ni kuwa kipindi Karume anauawa hakukuwa na CCM kulikuwepo na TANU hivyo aliyekwambia kuwa CCM walimuua Karume hayupo sahihi. Binafsi kutokana na swali lile nikaondoka na wazo kuwa sasa wanafunzi wameanza kuelewa uovu wa CCM na kwa wao kila ovu basi CCM wanahusika hata katika yale ambayo haikuhusika moja kwa moja. Hiki ndicho kizazi tunachazalisha walimu tunaopewa majibu mepesi na watawala tunapo dai stahiki zetu. Majibu ya " Hata kama msiponipigia kura nitapigiwa na wakulima" Ha ha ha ha, inasikitisha sana.
Lakini pia niseme kitu kimoja, natarajia kuacha kazi hii ya ualimu serikalini kufikia mwakani. Lengo langu ni kwenda kuungana na wapambanaji makini wanaodai ukombozi wa pili wa taifa la Tanzania, walioamua kujitolea maisha yao kwa sababu ya watanzania. Nafanya hivyo kwa kutambua kuwa ukombozi hautaweza kupatikana kwa kuamua tu kukaa mitandaoni na kuandika kama mimi ninavyofanya bali ni kushiriki kikamilifu katika kupigania ukombozi huo. Ukombozi huanzia kwako wewe kijana, ukombozi unaanza kwenye nafsi yako wewe kijana. It starts from inner part of your heart. Naomba nikuache na huu msemo na ikiwezekana uufumbue,,, "When an egg breaks from outside force, the internal life ends BUT when it breaks from internal force the INSIDE life Begins" I love Tanzania Deeply and I care so strongly about its future....!
 
Shida ya nyie walimu mmejaa unafiki tu kila siku mnatishia nyau,mkitishiwa kidogo mnaufyata.

Hapo hamna kitu ni mbwembwetu mtapiga kazi mpaka mugu awashukie.
 
mamamayo mnaleta dharau kwa walimu,subirini matokeo ya watoto wenu tena 2013,
anaeumia ni mtoto na ndugu yako mana mwalimu ashampeleka mwanae shule za kanisa

hii ban hii,mods msipompiga ban nakata rufaa kwa maxence melo.
 
Back
Top Bottom