We kweli unapenda nyimbo, zote ulizotaja dah! Nimezisoma kwanza moyo wangu ukapoa. 😌Ngoma nyingi mnooo
Nagapulila, mv mapenzi, mtaa wa saba.
Jogoo la shamba
Amigo ya les wanyika.
Aisee kuna hii nyimbo inaitwa
“Sasa ni Lunch time tufunge makazi” nikiisikia lazima nipate hamu ya kula!!
Plus kuna nyimbo za marehemu
-Siri ya nini
-Sarafina
-kachichi
hizi nyimbo hazinitoki
AmigoAisee kuna hii nyimbo inaitwa
“Sasa ni Lunch time tufunge makazi” nikiisikia lazima nipate hamu ya kula!!
Plus kuna nyimbo za marehemu
-Siri ya nini
-Sarafina
-kachichi
hizi nyimbo hazinitoki
SureHii kali sana
Mbaraka mwinsheheHiyo ya mtaa wa saba ameimba nani
Weka na waimbaji tuzitafute
Hyo Amigo sio poa mkuu🔥🔥🔥Ngoma nyingi mnooo
Ngapulila, mv mapenzi, mtaa wa saba.
Jogoo la shamba
Amigo ya les wanyika.
Hatari tupuHyo Amigo sio poa mkuu🔥🔥🔥
SijuiMwimbaji?
Sijui
🐒