Nyimbo gani ya zilipendwa ukizisikiliza moyo unatulia?

Ngoma nyingi mnooo
Ngapulila,
mv mapenzi,
Mtaa wa saba.
Jogoo la shamba
Amigo ya les wanyika.
Karubandika marquis du zaire
VIP ya vijana jazz, ni moto mnoo
Baba jeni ya hamza kalala.
Shoga by vijana jazz bonge la ngoma.
Ngalulala marquis du zaire.
Solemba juwatta jazz na niko zengekala
 
Sijui
🐒
Screenshot_20231014-184807.png
 
1. Mwisho wa Mwezi (Sagha Rhuma)
2. Ogogpa Matapeli (Sagha Rhumba)
3. Penzi la Mwisho (Mlimani Park)
4. Neema (Mlimani Park)
5. V.I.P. (Sagha Rumba)
6. Hujafa Hujaumbika (Twanga Chipolopolo)
7. Dunia Kigeugeu (FM Academia)
8. Mtu Pesa (Twanga Pepeta)
9. Leila (Assossa na Maquiz Original)
10. Siku ya Kufa (Makassy)
11. Mnanioneysha Njia ya Kwetu (Mlimani Park)

Yaani nyimbo za dansi tu zinafurahisha na ziko nyingi sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom