Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 1,704
- 5,480
Tukiwatafua hata kwa salamu tu si mnasingizia Ramadhani, bado siku chache tu 😀
😀😀 kwa hiyo hata salamu hawataki?Waacheni waabudu jamani daa...mwezi tu hamwezi vumilia?
Daaah warusi ni wanyama zaidi ya mnyama mwenyewePicha ndo linaanza, Moja ya Gaidi aloua watu Urus, Akikatwa SIKIO alafu anawekewa mdomoni alitafune ..ndo kwanza trela🤩
View attachment 2942720
Kuna gaidi Mmoja ametobolewa jicho LAIVU lavu, Kisha likang'olewa akashikishwa Mkononi.Daaah warusi ni wanyama zaidi ya mnyama mwenyewe
🥴🤣salamu wapokee ila maongezi yanayoelekeza ulaji wa papuchi hapana wasiruhusu😀😀 kwa hiyo hata salamu hawataki?
Oyoooo😍😍😍✌️Msitutishe Tutajinunulia wenyewe......
tuna hela zetu
😃😃 aina noma sisi ni pipoMsitutishe Tutajinunulia wenyewe......
tuna hela zetu
Hata salam tu madam, hamtaki?Jamani hamtaki tufanye ibada tena?
BTW, Huu mwezi wote tupo kwenye mfungo wewe mpagani?
wapate kinachowastahiliKuna gaidi Mmoja ametobolewa jicho LAIVU lavu, Kisha likang'olewa akashikishwa Mkononi.
Kwa Sasa wanajadili ni staili gani ya Kifo inawafaa .
Nahisi watawafanya kama walivyowafanya Magaidi wa hezibollah miaka Ile ya Usovieti.
Inategemea na mahusiano yako, mi mbona nawasiliana na babe vizuri tu? Na wote tupo kwenye mfungo.Hata salam tu madam, hamtaki?
Tutakutanaaaa😃😃 aina noma sisi ni pipo