Nyerere Day: Siku ya kuadhimisha unafiki wa viongozi

Bila bila

JF-Expert Member
Dec 20, 2016
21,498
37,792
Jana Octoba 14, ilikuwa siku ya mapumziko Kwa shughuli za kiserikali huku nchi ikitimiza miaka 24 Tangu kifo cha Rais wa Kwanza wa Tanganyika na Tanzania na miongoni mwa waasisi wa Taifa hili.

Ni siku ambayo imetengwa maalum pia kuadhimisha kilele cha wiki ya Vijana nchini na kuhitimisha mbio za Mwenge kitaifa.

Kama Ilivyotegemewa, Jana ilikuwa siku ya kueleza sifa kedekede za Mwalimu Nyerere (Mwenye siku yake) kuhusu màtendo yake mema, maono yake, uthubutu wa kutenda na kuamua Kwa ajili ya watu wake, uunganishaji wa nchi kuwa Taifa la watu wasiobaguana, matumizi sahihi ya raslimali za nchi, bidii ya kazi, na kubwa zaidi viongozi kuishi viapo vyao Kwa ajili ya Nchi na Wananchi.

Jana tumeshuhudia "UNAFIKI" halisi wa viongozi wa nchi hii. Jana Kila aliyesimama alimwongelea Nyerere utadhani kweli ni mfuasi wake. Jana Nyerere alipambwa akapambika. Kiujumla maiti haongei lakini Mwalimu alipakwa mafuta Kwa mgongo wa chupa.

Ni Nani anayaishi maisha ya Nyerere Kati ya viongozi tulionao Sasa hata nusu yake tu? Ni Nani anayefuata falsafa na maono ya Hayati kiasi cha kukusanyika Tanga kuhubiri wasiyoamini?

Wote waliokuwa Tanga Wana ukwasi usioweza kufafanuliwa chanzo chake. Wamejaa unafiki wanapoingia na ni Wanafiki wanapotoka.

Kiujumla Wamekwenda Tanga wakiwa Wanafiki na wametoka Tanga wakiwa Wanafiki.
 
Jana Octoba 14, ilikuwa siku ya mapumziko Kwa shughuli za kiserikali huku nchi ikitimiza miaka 24 Tangu kifo cha Rais wa Kwanza wa Tanganyika na Tanzania na miongoni mwa waasisi wa Taifa hili.
Ni siku ambayo imetengwa maalum pia kuadhimisha kilele cha wiki ya Vijana nchini na kujitimisha mbio za Mwenge kitaifa.
Kama Ilivyotegemewa, Jana ilikuwa siku ya kueleza sifa kedekede za Mwalimu Nyerere (Mwenye siku yake) kuhusu màtendo yake mema, maono, uthubutu wa kutenda na kuamua Kwa ajili ya watu wake, uinganishaji wa nchi kuwa Taifa la watu wasiobqguana, matumizi sahihi ya raslimali za nchi, bidii ya kazi, na kubwa zaidi viongozi kuishi viapo vyao Kwa ajili ya Nchi na Wananchi.
Jana tumeshuhudia "UNAFIKI" halisi wa viongozi wa nchi hii. Jana Kila aliyesimama alimwongelea Nyerere utadhani kweli ni mfuasi wake. Jana Nyerere alipambwa akapambika. Kiujumla maiti haongei lakini Mwalimu alipakwa mafuta Kwa mgongo wa chupa.
Ni Nani anayaishi maisha ya Nyerere Kati ya viongozi tulionao Sasa hata nusu yake tu? Ni Nani anayefuata falsafa na maono ya Hayati kiasi cha kukusanyika Tanga kuhubiri wasiyoamini?
Wote waliokuwa Tanga Wana ukwasi usioweza kufafanuliwa chanzo chake. Wamejaa unafiki wanapoingia na ni Wanafiki wanapotoka.
Kiujumla Wamekwenda Tanga wakiwa Wanafiki na wametoka Tanga wakiwa Wanafiki.
Naunga mkono hoja 👍👏
 
Wote waliokuwa Tanga Wana ukwasi usioweza kufafanuliwa chanzo chake.
Kwani ufuasi wa mwalimu upo kwenye umaskini tu? Kwamba ukiwa kiongozi lofa ndiyo unakuwa mfuasi wa Nyerere?

Mm kwa maoni yangu viongozi wa ccm wanaenzi vilivyo nyendo za mwalimu. Angalia katiba aliyoiunda mwalimu 1977. Imebadilika?

Enzi za mwalimu chama kilishika hatamu (kilikuwa na nguvu kuliko serikali). Mpk hivi Sasa chama kimeungana na dola na kukifanya kiwe na maamuzi sawa na enzi zile za kushika hatamu. Huku siyo kumuenzi mwalimu?
 
Kwani ufuasi wa mwalimu upo kwenye umaskini tu? Kwamba ukiwa kiongozi lofa ndiyo unakuwa mfuasi wa Nyerere?

Mm kwa maoni yangu viongozi wa ccm wanaenzi vilivyo nyendo za mwalimu. Angalia katiba aliyoiunda mwalimu 1977. Imebadilika?

Enzi za mwalimu chama kilishika hatamu (kilikuwa na nguvu kuliko serikali). Mpk hivi Sasa chama kimeungana na dola na kukifanya kiwe na maamuzi sawa na enzi zile za kushika hatamu. Huku siyo kumuenzi mwalimu?
Nitacheka nikitoka Ibadani.
 
Jana Octoba 14, ilikuwa siku ya mapumziko Kwa shughuli za kiserikali huku nchi ikitimiza miaka 24 Tangu kifo cha Rais wa Kwanza wa Tanganyika na Tanzania na miongoni mwa waasisi wa Taifa hili.

Ni siku ambayo imetengwa maalum pia kuadhimisha kilele cha wiki ya Vijana nchini na kuhitimisha mbio za Mwenge kitaifa.

Kama Ilivyotegemewa, Jana ilikuwa siku ya kueleza sifa kedekede za Mwalimu Nyerere (Mwenye siku yake) kuhusu màtendo yake mema, maono yake, uthubutu wa kutenda na kuamua Kwa ajili ya watu wake, uunganishaji wa nchi kuwa Taifa la watu wasiobaguana, matumizi sahihi ya raslimali za nchi, bidii ya kazi, na kubwa zaidi viongozi kuishi viapo vyao Kwa ajili ya Nchi na Wananchi.

Jana tumeshuhudia "UNAFIKI" halisi wa viongozi wa nchi hii. Jana Kila aliyesimama alimwongelea Nyerere utadhani kweli ni mfuasi wake. Jana Nyerere alipambwa akapambika. Kiujumla maiti haongei lakini Mwalimu alipakwa mafuta Kwa mgongo wa chupa.

Ni Nani anayaishi maisha ya Nyerere Kati ya viongozi tulionao Sasa hata nusu yake tu? Ni Nani anayefuata falsafa na maono ya Hayati kiasi cha kukusanyika Tanga kuhubiri wasiyoamini?

Wote waliokuwa Tanga Wana ukwasi usioweza kufafanuliwa chanzo chake. Wamejaa unafiki wanapoingia na ni Wanafiki wanapotoka.

Kiujumla Wamekwenda Tanga wakiwa Wanafiki na wametoka Tanga wakiwa Wanafiki.
Mkuu wakristo ni wafuasi wa Yesu Kristo na falsafa yake, na wakristo hao wanaamini kuwa Yesu alikuwa Mungu. Je kuna mkristo anaye fuata ya Yesu Kristo na falsafa yake? Tegemea Hali kama hiyo kwa wafuasi wa Nyerere!
 
Mkuu wakristo ni wafuasi wa Yesu Kristo na falsafa yake, na wakristo hao wanaamini kuwa alikuwa Mungu. Je kuna mkristo anaye fuata ya Yesu Kristo? Tegemea Hali kama hiyo kwa wafuasi wa Nyerere!
Tunawaitaje Wakristo wanaosimama mimbarani kumhubiri Kristo huku màtendo yao yakimhubiri Shetani?
 
Kwani ufuasi wa mwalimu upo kwenye umaskini tu? Kwamba ukiwa kiongozi lofa ndiyo unakuwa mfuasi wa Nyerere?

Mm kwa maoni yangu viongozi wa ccm wanaenzi vilivyo nyendo za mwalimu. Angalia katiba aliyoiunda mwalimu 1977. Imebadilika?

Enzi za mwalimu chama kilishika hatamu (kilikuwa na nguvu kuliko serikali). Mpk hivi Sasa chama kimeungana na dola na kukifanya kiwe na maamuzi sawa na enzi zile za kushika hatamu. Huku siyo kumuenzi mwalimu?
Mwalimu Hakuwa maskini,
Hakuupenda umasikini Hadi akaufanya kuwa miongoni mwa maadui 3 wa Taifa.
Ukisoma tena nilichoandika utagundua aiongelei Mtu yeyote kuwa masikini Bali nilichoongelea ni viongozi kujilimbikizia Mali kutokana na fedha za Umma. Najua watetezi na wanufaika wa Ufisadi Serikalini watakuja kuhoji ushahidi na vielelezo. Nawajibu mapema, MWENYE MACHO HAAMBIWI TAZAMA.
 
Jana siku ya kushereheka au kuomboleza?
Binadamu ana sherehe 3 kubwa.
Kuzaliwa,
Kuoa/kuolewa
Kifo.
Kifo ni sherehe Kwa aliyejiandaa na kujifungamanisha na Mungu wake.
Sijui Imani yako lakini kwangu kuishi ni Kristo na Kufa ni faida.
 
Kwani ufuasi wa mwalimu upo kwenye umaskini tu? Kwamba ukiwa kiongozi lofa ndiyo unakuwa mfuasi wa Nyerere?

Mm kwa maoni yangu viongozi wa ccm wanaenzi vilivyo nyendo za mwalimu. Angalia katiba aliyoiunda mwalimu 1977. Imebadilika?

Enzi za mwalimu chama kilishika hatamu (kilikuwa na nguvu kuliko serikali). Mpk hivi Sasa chama kimeungana na dola na kukifanya kiwe na maamuzi sawa na enzi zile za kushika hatamu. Huku siyo kumuenzi mwalimu
 
Jana Octoba 14, ilikuwa siku ya mapumziko Kwa shughuli za kiserikali huku nchi ikitimiza miaka 24 Tangu kifo cha Rais wa Kwanza wa Tanganyika na Tanzania na miongoni mwa waasisi wa Taifa hili.

Ni siku ambayo imetengwa maalum pia kuadhimisha kilele cha wiki ya Vijana nchini na kuhitimisha mbio za Mwenge kitaifa.

Kama Ilivyotegemewa, Jana ilikuwa siku ya kueleza sifa kedekede za Mwalimu Nyerere (Mwenye siku yake) kuhusu màtendo yake mema, maono yake, uthubutu wa kutenda na kuamua Kwa ajili ya watu wake, uunganishaji wa nchi kuwa Taifa la watu wasiobaguana, matumizi sahihi ya raslimali za nchi, bidii ya kazi, na kubwa zaidi viongozi kuishi viapo vyao Kwa ajili ya Nchi na Wananchi.

Jana tumeshuhudia "UNAFIKI" halisi wa viongozi wa nchi hii. Jana Kila aliyesimama alimwongelea Nyerere utadhani kweli ni mfuasi wake. Jana Nyerere alipambwa akapambika. Kiujumla maiti haongei lakini Mwalimu alipakwa mafuta Kwa mgongo wa chupa.

Ni Nani anayaishi maisha ya Nyerere Kati ya viongozi tulionao Sasa hata nusu yake tu? Ni Nani anayefuata falsafa na maono ya Hayati kiasi cha kukusanyika Tanga kuhubiri wasiyoamini?

Wote waliokuwa Tanga Wana ukwasi usioweza kufafanuliwa chanzo chake. Wamejaa unafiki wanapoingia na ni Wanafiki wanapotoka.

Kiujumla Wamekwenda Tanga wakiwa Wanafiki na wametoka Tanga wakiwa Wanafiki.
Naunga mkono hoja hii
 
Kwani ufuasi wa mwalimu upo kwenye umaskini tu? Kwamba ukiwa kiongozi lofa ndiyo unakuwa mfuasi wa Nyerere?

Mm kwa maoni yangu viongozi wa ccm wanaenzi vilivyo nyendo za mwalimu. Angalia katiba aliyoiunda mwalimu 1977. Imebadilika?

Enzi za mwalimu chama kilishika hatamu (kilikuwa na nguvu kuliko serikali). Mpk hivi Sasa chama kimeungana na dola na kukifanya kiwe na maamuzi sawa na enzi zile za kushika hatamu. Huku siyo kumuenzi mwalimu?
Mojawapo ya post hovyo kwa mwaka huu was fedha!
 
Jana Octoba 14, ilikuwa siku ya mapumziko Kwa shughuli za kiserikali huku nchi ikitimiza miaka 24 Tangu kifo cha Rais wa Kwanza wa Tanganyika na Tanzania na miongoni mwa waasisi wa Taifa hili.

Ni siku ambayo imetengwa maalum pia kuadhimisha kilele cha wiki ya Vijana nchini na kuhitimisha mbio za Mwenge kitaifa.

Kama Ilivyotegemewa, Jana ilikuwa siku ya kueleza sifa kedekede za Mwalimu Nyerere (Mwenye siku yake) kuhusu màtendo yake mema, maono yake, uthubutu wa kutenda na kuamua Kwa ajili ya watu wake, uunganishaji wa nchi kuwa Taifa la watu wasiobaguana, matumizi sahihi ya raslimali za nchi, bidii ya kazi, na kubwa zaidi viongozi kuishi viapo vyao Kwa ajili ya Nchi na Wananchi.

Jana tumeshuhudia "UNAFIKI" halisi wa viongozi wa nchi hii. Jana Kila aliyesimama alimwongelea Nyerere utadhani kweli ni mfuasi wake. Jana Nyerere alipambwa akapambika. Kiujumla maiti haongei lakini Mwalimu alipakwa mafuta Kwa mgongo wa chupa.

Ni Nani anayaishi maisha ya Nyerere Kati ya viongozi tulionao Sasa hata nusu yake tu? Ni Nani anayefuata falsafa na maono ya Hayati kiasi cha kukusanyika Tanga kuhubiri wasiyoamini?

Wote waliokuwa Tanga Wana ukwasi usioweza kufafanuliwa chanzo chake. Wamejaa unafiki wanapoingia na ni Wanafiki wanapotoka.

Kiujumla Wamekwenda Tanga wakiwa Wanafiki na wametoka Tanga wakiwa Wanafiki.
Uwiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Back
Top Bottom