NINAMFUATILIA kwa karibu sana Mwalimu Jr. na kwa hakika naona kama vile mawazo yake ni ya Al-Marhum baba wa Taifa, Mwalimu J. K. Nyerere wajina wake.
Tueleze basi mwalimu jr. ni njia ipi ya kusherehekea Nyerere Day kwa namna ambayo si ya unafiki na kula hela za walipa kodi kwa kuweka matangazo yanayolipiwa mara mbili au tatu ya bei ya kweli ya kazi kama hizo?
Tunakusubiri kwa hamu Mwalimu Jr.
huduma,
zanzibar
Tueleze basi mwalimu jr. ni njia ipi ya kusherehekea Nyerere Day kwa namna ambayo si ya unafiki na kula hela za walipa kodi kwa kuweka matangazo yanayolipiwa mara mbili au tatu ya bei ya kweli ya kazi kama hizo?
Tunakusubiri kwa hamu Mwalimu Jr.
huduma,
zanzibar