Gurudumu
JF-Expert Member
- Feb 5, 2008
- 2,349
- 261
Akihutubia walimu na wanacho kikuu cha dsm leo, kupitia wosia wa baba tbc1, amewakosoa walimu wa chuo kikuu wanaosema hewala bwana kwa kila kisemwacho na serikali.
Amesema kuna wachache wanaochambua mipango na utendaji wa serikali na wanaandika vitabu. Akasema kwamba yeye hujitahidi kuvisoma hivyo vitabu. Kwamba kuna vile vitabu vinakosoa kwa mantiki na vinasaidia serikali kujitathmini.
Lakini kuna vingine vinapiga kelele tu na kuna vichache vinaipamba serkali. Lakini huwa anavisoma vyote.
Amesisitiza kwamba jamii na serikali vinajitaji sana chuo kikuu (kwa wakati ule chuo kikuu kulikuwa kimoja tu)
-------------------------
je, serkali na jamii ya tz leo wana mtazamo huu wa Nyerere kuhusu vyuo vikiunganishwa?
Amesema kuna wachache wanaochambua mipango na utendaji wa serikali na wanaandika vitabu. Akasema kwamba yeye hujitahidi kuvisoma hivyo vitabu. Kwamba kuna vile vitabu vinakosoa kwa mantiki na vinasaidia serikali kujitathmini.
Lakini kuna vingine vinapiga kelele tu na kuna vichache vinaipamba serkali. Lakini huwa anavisoma vyote.
Amesisitiza kwamba jamii na serikali vinajitaji sana chuo kikuu (kwa wakati ule chuo kikuu kulikuwa kimoja tu)
-------------------------
je, serkali na jamii ya tz leo wana mtazamo huu wa Nyerere kuhusu vyuo vikiunganishwa?