Kingilambago
Member
- May 1, 2012
- 17
- 2
Mwandishi wa habari nyaronyoooo kicheere ashangaa rais kutomchagua katika nafasi ya Ukuu wa wilaya
hujamwelewa. Anajoke, amesema walioteuliwa si kwa ubora ktk uandishi bali kwa kujikomba. Anabeza kazi za dc kuwa kila anaziweza. Weka makala yake, si kwa kupotosha out of contextMwandishi wa habari nyaronyoooo kicheere ashangaa rais kutomchagua katika nafasi ya Ukuu wa wilaya
:lol:nyaronyo hashangai kutoteuliwa mkuu wa wilaya bali ametumia makala hayo kueleza kuwa wanaoteuliwa ukuu wa wilaya ni wale wanaojikomba. pia ameeleza kuwa mbinu ya kuwahonga wandishi wa habari na vyeo hasa ukuu wa wilaya itasababisha wandishi sasa washindane kuandika habari za kuwasifia wakubwa serikalini na katika ccm na hivyo kupoteza kabisa maana ya uandishi wa habari. ili kumwelewa vizuri nyaronyo kicheere tafadhali weka makala yake nzima hapa wote tuisome kuona kama umemwelewa vizuri. hebu rudia kaisome vizuri ili umwelewe. kwanza nyaronyo ni chadema angeteuliwaje kuwa mkuu wa wilaya katika serikali ya magamba?:lol: