palalisote
JF-Expert Member
- Aug 4, 2010
- 8,335
- 1,455
Juma Duni Haji alikuwa analijibu swali hilo kupitia ITV usiku huu.
Alimtaja Nyerere kuwa ndiye aliyeifuta Tanganyika na waraka alikuwa nao mkononi anausoma, siukumbuki ni upi.
ni suala la muda tu tanganyika yetu ya ukweli itarudi.