TBC1 kuna naibu waziri Lazaro Nyarando kama kawaida ya CCM anapiga porojo, anatoa list ya vitu wanavyotaka kufanya, ataoa list ya ziara zake anzotaka kufanya, anasifia Tanzania ina upepo mzuri eti ya pili dunia nzima kwa ubora kwa ajili ya kuzalishia umeme, anasifia Jua la Tanzania eti zuri kwa kuzalishia umeme, anasema eti tuna makaa ya mawe mamilioni ya tani kwa hiyo watu wasihofu mambo yatakua mazuri tu. . . .hivi hawa CCM wana akili kweli? yaani kila kukicha story tu. . .something tangible plz! kila siku wao ni mipango tu hakuna linaloonekana, kwa kweli ndugu Lazaro Mnakera, hatuna shida ya kusikia sauti yako, nenda kafanye kazi badala ya kuuza chai hapo TBC1