dosama
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 912
- 957
Source BBC Swahili
Kulingana na utafiti uliofanywa Tanzania nusu ya watu wa Tanzania ni vijana na robo ya watanzania wote tunaishi mijini kwa maana hiyo zaidi ya 15% ya watanzania tupo mijini.
Na hii inasababisha mabadiliko makubwa hasa ya kisiasa na inatishia mageuzi ya kumfumo na uongozi.
My take:
Vijana hili ni taida letu tusipo simama na kuwaachia wazee peke yao litaanguka tubasilike tuungane kuijenga nchi yetu hasa katika siasa. Siasa na uongozi ndo unaendesha nchi, elimu na tupige kazi mafisadi tuyaondoe yote.
By Dosama
Kulingana na utafiti uliofanywa Tanzania nusu ya watu wa Tanzania ni vijana na robo ya watanzania wote tunaishi mijini kwa maana hiyo zaidi ya 15% ya watanzania tupo mijini.
Na hii inasababisha mabadiliko makubwa hasa ya kisiasa na inatishia mageuzi ya kumfumo na uongozi.
My take:
Vijana hili ni taida letu tusipo simama na kuwaachia wazee peke yao litaanguka tubasilike tuungane kuijenga nchi yetu hasa katika siasa. Siasa na uongozi ndo unaendesha nchi, elimu na tupige kazi mafisadi tuyaondoe yote.
By Dosama