Nunua pipi mwaka 2023

Dadavua ankoo, kuna kabinti kameanza kuniita ankòo sikaelewi.
Kimbia mbio Mkuu, ngoja siku kawe na msala pale dawati la jinsia polisi alafu kaseme hata hivi tu ''Ankoo jungle anapafahamu nyumbani'' Mkuu hako lazima wakakapime njia zote kama zipo salama kwa kukutaha tu 'Ankoo' na lazima utatafutwa tu.

Neno Ankoo limekuwa kama mbadala wa neno Fataki ila hili limeenda mbele zaidi Ankoo ni Fataki mshenzi, ama anakula mama wa mtoto au mtoto mwenyewe
 
Nenda dukan nunua pipi mfuko mzma fanya mgao Kwa watoto ,isiwe mara Moja fanya Zaidi na Zaidi
Kwa kifupi Kama wazitaka Baraka mwaka 2023 wafanye watoto wadogo kua na furaha

You cant be happy kwenye hi dunia if you can't find excitement in small things

Mwandishi mmoja maarufu amewai andika haya
When I was growing up, my father said something to me I will never forget, "Son, when you were born, you
cried while the world rejoiced.

Live your life in such a way that when you die the world cries while you
rejoice." We live in an age when we have forgotten what life is all about.

We can easily put a person on the
Moon, but we have trouble walking across the street to meet a new neighbor.

We can fire a missile across
the world with pinpoint accuracy, but we have trouble keeping a date with our children to go to the library.

We have e-mail, fax machines and digital phones so that we can stay connected and yet we live in a time
where human beings have never been less connected. We have lost touch with our humanity.

We have lost
touch with our purpose. We have lost sight of the things that matter the most.
Aliyeelewa Kidhungu Anieleweshe
Nimekaa apa
 
Hili kila nikijaribu kufikiri kulifanya nasikia moyo mzito, kuna mtu alikuwa anafanya hivi miaka ya nyuma alikuwa anakutana na maneno mabaya sana. Siku za leo kugawa pipi bila utaratibu utajitafutia matatizo labda uwe mwalimu wao unayewafundisha nje na hapo unajitafutia matatizo.
Hii comment tuiwekee Lamination halafu uzi ufungwe
 
Oya mbona mnakuwa kama mambumbumbu kumshambulia mtoa mada

Ametumia pipi kama mfano wa kitu kidogo unachoweza kukifanya kumpa binadamu mwenzako furaha bila kuhtaj malipo yeyote

Kama unajua jirani yako huwa analala njaa msaidie hela ya msosi bila kumsimanga

Kama unajua mtoto wa jilan yako hana begi wafate wazazi wake ukamnunulie begi

Jilani yako anapika vitumbua wewe unaingiza 10M Kwa mwezi, muoongezee mtaji

Nenda hospital katembelee wagonjwa


Amemaanisha tu tuwe nice to each other nashangaa mnamshambulia suala pipi

Tumekuwa wabinafsi sisi sote.

Sent using Jamii Forums mobile app
This explains everything with pin point accuracy
 
Fanya kitu kimoja kama unataka watoto wa ffurahi mtafute mkeo au mwanamke yoyote, tenga kimeza flani weka vikorokoro vya watoto kama juisi au biskuti, au chokolate nunua jumla jaza mezani then watakuja wakija wapewe wataita na wenzao , mkiwapa muwakumbushe ,mambo mazuri, soma kwa bidiii, muwasikilze wazazi wenu, pendaneni
 
Nenda dukan nunua pipi mfuko mzma fanya mgao Kwa watoto ,isiwe mara Moja fanya Zaidi na Zaidi
Kwa kifupi Kama wazitaka Baraka mwaka 2023 wafanye watoto wadogo kua na furaha

You cant be happy kwenye hi dunia if you can't find excitement in small things

Mwandishi mmoja maarufu amewai andika haya
When I was growing up, my father said something to me I will never forget, "Son, when you were born, you
cried while the world rejoiced.

Live your life in such a way that when you die the world cries while you
rejoice." We live in an age when we have forgotten what life is all about.

We can easily put a person on the
Moon, but we have trouble walking across the street to meet a new neighbor.

We can fire a missile across
the world with pinpoint accuracy, but we have trouble keeping a date with our children to go to the library.

We have e-mail, fax machines and digital phones so that we can stay connected and yet we live in a time
where human beings have never been less connected. We have lost touch with our humanity.

We have lost
touch with our purpose. We have lost sight of the things that matter the most.
Wakioza meno sintoshitakiwa?
 
Nenda dukan nunua pipi mfuko mzma fanya mgao Kwa watoto ,isiwe mara Moja fanya Zaidi na Zaidi
Kwa kifupi Kama wazitaka Baraka mwaka 2023 wafanye watoto wadogo kua na furaha

You cant be happy kwenye hi dunia if you can't find excitement in small things

Mwandishi mmoja maarufu amewai andika haya
When I was growing up, my father said something to me I will never forget, "Son, when you were born, you
cried while the world rejoiced.

Live your life in such a way that when you die the world cries while you
rejoice." We live in an age when we have forgotten what life is all about.

We can easily put a person on the
Moon, but we have trouble walking across the street to meet a new neighbor.

We can fire a missile across
the world with pinpoint accuracy, but we have trouble keeping a date with our children to go to the library.

We have e-mail, fax machines and digital phones so that we can stay connected and yet we live in a time
where human beings have never been less connected. We have lost touch with our humanity.

We have lost
touch with our purpose. We have lost sight of the things that matter the most.
Unajidanganya
 
Nenda dukan nunua pipi mfuko mzma fanya mgao Kwa watoto ,isiwe mara Moja fanya Zaidi na Zaidi
Kwa kifupi Kama wazitaka Baraka mwaka 2023 wafanye watoto wadogo kua na furaha

You cant be happy kwenye hi dunia if you can't find excitement in small things

Mwandishi mmoja maarufu amewai andika haya
When I was growing up, my father said something to me I will never forget, "Son, when you were born, you
cried while the world rejoiced.

Live your life in such a way that when you die the world cries while you
rejoice." We live in an age when we have forgotten what life is all about.

We can easily put a person on the
Moon, but we have trouble walking across the street to meet a new neighbor.

We can fire a missile across
the world with pinpoint accuracy, but we have trouble keeping a date with our children to go to the library.

We have e-mail, fax machines and digital phones so that we can stay connected and yet we live in a time
where human beings have never been less connected. We have lost touch with our humanity.

We have lost
touch with our purpose. We have lost sight of the things that matter the most.
Niliwahi kununua pipi mkuu, ila kwa hela ya mshua. Niligawa ofa mtaa mzima nikajiona kibopa tena hapo nna miaka sita.

Nilikusanya watoto wa kipemba nikaenda kuwamiminia ofa ya peremende, mshua anarudi anaambiwa ah dogo leo alifunga mtaa wakampa story mwamba nikaitwa naulizwa nimetoa wapi hela namwambia kwenye mfuko wake wa shati. Mwanzo nilikua nakataa nasema nasingiziwa.

Wale watoto waliitwa kila mtu anataja hadi duka nlilowapeleka. Nilichapwa kinoma sitokaa nisahau. Tangu siku hiyo charity niliacha😅 wema uliniponza ela yenyewe buku jero tu
 
Dah umenikumbusha mkasa ambao niliijiwa na lundo la wamama wa uswahilini kisa hizo pipi za kugawa bure.....nashukuru confidence yangu iliniokoa.....SIRUDII KUMPA MTOTO WA MTU KITU .....Nikitakiwa kufanya hivyo nitakwenda kwa watoto yatima
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom