the bidhaa
JF-Expert Member
- Apr 4, 2022
- 259
- 710
Nahitaji kama hii ya Oppo watt80Mkuu,,hata vitu vidogo vidogo unaagiza?, mi nna shida na fast charger ya kuanzia watts hata 80 kwenda juu,,inawezekana kupatikana?
Nahitaji kama hii ya Oppo watt80Mkuu,,hata vitu vidogo vidogo unaagiza?, mi nna shida na fast charger ya kuanzia watts hata 80 kwenda juu,,inawezekana kupatikana?
Nahitaji kama hii ya Oppo watt80 View attachment 2953816
TZS. 43,512Nahitaji kama hii ya Oppo watt80 View attachment 2953816
Mkuu hii inajumuisha gharama zote hadi mzigo unafika mkononi mwangu?TZS. 43,512
Shukran sana mkuu,nko Dar bas naomba unielekeze namna ya kufanya malipo hayoSAhihi, iwapo unapatikana Dar, kama upo mkoani kuna gharama ya kutuma kwa basi / EMS kulingana na malekezo yako baada ya mzigo kufika nchini.
Fungua alibaba.com , tafuta item husika, kisha nipe link yake na nitafanikisha kuitoa china na kukufikishia mahala ulipoNahitaji water pumps za diesel inch 3-4 pamoja na walking tractor aka powertiller
Mwl.RCT nahitaji kujua jinsi ya kuagiza na kulipia bidhaa kupitia Alibaba. Na process gani zinatakiwa nizifanye mpk niipate bidhaa yangu hapa Tanzania
Mkuu bado??View attachment 2953712
Nitakujulisha next week.
@Mwl.RCTNatamani kuagiza sex toys , hii biashara ni halal hapa bongo? Maana naona inafanywa kwa kificho haswa. Ila naiona fursa yake. Je unaweza kuniagizia?