Mr Why
JF-Expert Member
- Nov 27, 2019
- 1,125
- 1,922
Ndugu zangu ilikuwa mnamo mwaka 1958, ndipo Baba wa Taifa Mwl Julius Nyerere alipotoa wosia mzito juu ya rasilimali za nchi.
Tutumie nukuu hii pale tunapotaka kuchukua uamuzi unaohusiana na maswala ya rasilimali za nchi yetu ili kunusuru Taifa letu.
Tutumie nukuu hii pale tunapotaka kuchukua uamuzi unaohusiana na maswala ya rasilimali za nchi yetu ili kunusuru Taifa letu.