kabila01
JF-Expert Member
- Apr 21, 2009
- 4,235
- 4,949
Wana JF leo Bungeni Bajeti ya Wizara ya Afya bado inajadiliwa, Kinachoniuma kuna ufisadi mkuwa sana unafanyika katika hizi management za Afya za wilaya na mikoa maarufu kama CHMT na RHMT, na pia ktk miradi ya maendeleo ya Afya ambayo inafadhiliwa na wafadhiri. Nikipata Contact za mbunge wa CHADEMA ntampatia black and white alipue leo bungeni. Nisaidieni wana JF hata ka PM