Swahilian
JF-Expert Member
- Apr 28, 2009
- 591
- 66
Ass, alaykum ndugu zangu wa Jf,
Na hakika wote ni wazima wa afya na zaidi ya yote nilikuwa naomba msaada wa kujua wapi ntaweza kupata kifaa cha utambuzi madini (Metal Detector) yanapokua ktk ardhi.
Na hasa aina ya dhahabu na almasi,
Msaada wenu mkubwa unahitajika ktk kujua ni wapi naweza kutembelea(maduka) na pia hata kama ntaweza kujua gharama zake (bei) hapa kwetu Tanzania.
Natumai ntapewa majibu ya kuridhisha na yenye utoshelevu na hasa kutoka kwa wataalamu wa uga huo wa madini na vito.
Ushauri, mawazo na maoni lukuki yanahitajika ili tumsaidie ndugu yetu...
Na hakika wote ni wazima wa afya na zaidi ya yote nilikuwa naomba msaada wa kujua wapi ntaweza kupata kifaa cha utambuzi madini (Metal Detector) yanapokua ktk ardhi.
Na hasa aina ya dhahabu na almasi,
Msaada wenu mkubwa unahitajika ktk kujua ni wapi naweza kutembelea(maduka) na pia hata kama ntaweza kujua gharama zake (bei) hapa kwetu Tanzania.
Natumai ntapewa majibu ya kuridhisha na yenye utoshelevu na hasa kutoka kwa wataalamu wa uga huo wa madini na vito.
Ushauri, mawazo na maoni lukuki yanahitajika ili tumsaidie ndugu yetu...