Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,482
- 9,517
Wow! Please CAN I WIFE you?
Kabla hujafanya hivyo uje uniulize, I have a tip for you...
Wow! Please CAN I WIFE you?
I will!Kabla hujafanya hivyo uje uniulize, I have a tip for you...
Oooh kumbe..
haya njoeni hapa mueleze mlikotokea wapendwa; charminglady, Asnam, Kipipi, Evelyn Salt na zanzsco!!!:yo:
Me napatikana Ikungulyabhashashi ndipo kijijini kwetu karibu sana Mentor :smile-big:
Mentor too much theories bana just amua and utaona.
hivi huoni dada zako jamani tunavyoish ama unafikiri tuliondoka home na akili za mama ama mama yetu ndo alilea kwa maadili pekee??
Already wifed her some 15 years ago. If you happen to meet another of the kind, be sure that she is mine's dublicate since mine can be dublicated!
hebu mwambie watu huwa inafikia mahali wanaamua tu kujilipua ,,,,,,,, kuchamba kwingi..............
ulikuwa unamaanisha duplicate na duplicated mkuu?
Mentor;5854934]Mkuu asakuta same, nenda kule wanakomshauri amu ndo uone kuchamba kidogo kulivo kubaya...
Roger that mkuu,,,,,,, kule kwa thread ya amu kulinishinda toka jana.Mother tongue effect mkuu....potezea!
inatia nguvu na matumaini ukiisoma na kuiwazia...........
cc; Evelyn Salt
hebu mwambie watu huwa inafikia mahali wanaamua tu kujilipua ,,,,,,,, kuchamba kwingi..............
huyu Mentor asipooa na miaka 60 sijui tu mwache achague chague utadhan anachagua samaki....
Evelyn Salt my dear i asked u for a lunch...LUNCH..date ukanitosa unataka nioe lini sasa!!!
[/QUOTENiahidi hautakuwa mme bahili ....
mbona tupo wengi tu tatizo unapenda kutembelea yutch club.
I"I promise...!
......mmh nnavokujua na ulivokubalifasta hadi najishtukia teh nahisi mbele ya safari utanambia "kama ulipenda pesa ungeolewa na m-pesa"
I"
......mmh nnavokujua na ulivokubalifasta hadi najishtukia teh nahisi mbele ya safari utanambia "kama ulipenda pesa ungeolewa na m-pesa"
"Niseme nini ili unielewe,
nikupe nini ili niwe na wewe..
Au majumba ya kifahari
ili twende home tukajivinjari..:A S-heart-2:"