kufanya nini? Walishaita kufanya aptitude testwakubwa vipi? nssf hawajaita bado?
Aiira katika NSSF ni ngumu imegubikwa na upendeleo wa KIDINI.Kama wewe si JUMA,KHADIJA, ABDALLAH ,ujue huna uhalali wa kupata ajira hapo hata kama una sifa zinazostahili.Kinara wa hali hii ni kiongozi wa juu kabisa wa Mfuko huo akichagizwa na Mkurugenzi Maslahi ambaye pia huenda ni Khadija.Tunawashauri wabadilike wote ni watoto wa Baba moja .Mungu anachukizwa na vitendo hivyo waombe toba.Karibuni vijana (mzigo wa Mjomba) waliitwa kufanya apptitude test, hatutashangaa kuona ni walewale walengwa watakaopata ajira!!
MPONELA unatushangaza!!!. Wakristo nchi hii hampaswi kulalalmika hata kidogo. Hii ni kwa kuwa ndio wanufaika wakubwa wa rasilimali za nchi hii (tafiti nyingi zinaonyesha hayo nnayoyasema). kwa taarifa yako hakuna taasisi hata moja katika nchi hii yenye watumishi WAISLAMU wengi kuliko WAGALATIA. Fanya utafiti na ukiipata moja tu nitakupa zawadi nzuuuuri. Bali ukweli ni kuwa watumishi WAGALA ni wengi katika Serikali na taasis zake kuliko WAISLAMU kwa zaidi ya 80%.
MPONELA unatushangaza!!!. Wakristo nchi hii hampaswi kulalalmika hata kidogo. Hii ni kwa kuwa ndio wanufaika wakubwa wa rasilimali za nchi hii (tafiti nyingi zinaonyesha hayo nnayoyasema). kwa taarifa yako hakuna taasisi hata moja katika nchi hii yenye watumishi WAISLAMU wengi kuliko WAGALATIA. Fanya utafiti na ukiipata moja tu nitakupa zawadi nzuuuuri. Bali ukweli ni kuwa watumishi WAGALA ni wengi katika Serikali na taasis zake kuliko WAISLAMU kwa zaidi ya 80%.
MPONELA unatushangaza!!!. Wakristo nchi hii hampaswi kulalalmika hata kidogo. Hii ni kwa kuwa ndio wanufaika wakubwa wa rasilimali za nchi hii (tafiti nyingi zinaonyesha hayo nnayoyasema). kwa taarifa yako hakuna taasisi hata moja katika nchi hii yenye watumishi WAISLAMU wengi kuliko WAGALATIA. Fanya utafiti na ukiipata moja tu nitakupa zawadi nzuuuuri. Bali ukweli ni kuwa watumishi WAGALA ni wengi katika Serikali na taasis zake kuliko WAISLAMU kwa zaidi ya 80%.