NSSF yaelekea kufilisika

wewe wshauri tu wezi hawa. Malipo yao hapahapa c wanakula pesa zetu na hao wanojiita wakurungezi wapo pale kwa niaba ya chama tu
 
Laaana za wa wazee wa East africa. Walipolala barabarani ilikua ni laana tosha kwa JK yeye hakuelewa sasa ona kila analofanya bila kufikiri kwa undani zaidi linaimega serikali yake na kwa hili lazima Chama cha wafanyakazi Tanzania kijibu kwa nguvu ya aina yake. Pia nawashauri Chadema kutumia point hii kuwamaliza hawa majambazi.

Jk anakopa anaenda kuficha Uswis,south africa na kwingine.

Shame on you Jk
 
Recycling recycling! old story, toka lini gazeti la udaku la MwanaHalisi ndio likawa ripoti ya CAG?

Hiyo n artcicle ina mapungufu na upotoshwaji mkubwa, hebu tuone hii;

Hiyo ripoti ya shirika la NSSF ikijibu gazeti la Mwanahalisi nafikiri inapotosha. "Unqualified Report" haina uhusiano na kufilisika au kutokufilisika bali kama mahesabu yanatoa picha halisi ya shirika. Hata hivyo, naamini Mkaguzi inabidi aandike ripoti ingine kuhusu "Going Concern" (i.e uwezekano wa kufilisika au kutofilisika) ya shirika analolikagua ambayo nafikiri hiyo ripoti ni sehemu ya ripoti ya Manajementi na haihusu jinsi uwekaji wa mahesabu ulivyokuwa. Ni tofauti na "Auditor's Opinion". Sasa NSSF wanapotumia ripoti inayohusu jinsi mahesabu yao yanavyowekwa kama sababu ya kujenga hoja kuwa shirika halifilisiki, ni kupotosha umma. Watupe Management Report ya Wakaguzi.
 
Recycling recycling! old story, toka lini gazeti la udaku la MwanaHalisi ndio likawa ripoti ya CAG?

Hiyo n artcicle ina mapungufu na upotoshwaji mkubwa, hebu tuone hii;
Mkuu acha kutetea upuuzi hiyo habari ya Mwanahalisi ingekuwa ya uongo NSSF wangeenda mahakamani, na kwa nini hiyo sheria ya kujitoa at 55 imelazimishwa kama si kunusuru hali ya hiyo mifuko?
 
Tumefika hapa Kwa sababu ya Udhaifu wa Raisi Kikwete ,Uzembe wa Bunge na Upuuzi wa CCM qoute JJ Mnyika
Inakuwaje mimi niamue kuacha kazi na kuwa mkulima au mjasiria mali halafu bunge lipitishe sheria ya NSSF kuhodhi fedha zangu nilizokatwa kwenye mshahara wangu mpaka pale wao watakapotaka kunipa huu ujinga kabisa
Eti nitapata tabu nizeeka ni asilimia ngapi ya watanzania wako kwenye mifuko hii hi si kuzuga wamefirisi mifuko kwa mambo ya kisiasa na wafanya kazi wa nchi hii madondocha wamekaa tuu huku haki yao ikipolwa hivihivi
 
Watanzania tuache unafiki kwani wengi wetu waliona ni bora kuwapeleka bungeni wabunge wengi wa ccm ambao kazi yao kubwa ni kulinda maslahi ya serikali ya chama chao na ndio maama hata sheria hii ya hovyo kabisa wakaipitisha.Wamekopa mahela sasa wanashindwa kurejesha na badala yake sasa wanaleta sheria hii ili iwalinde wao kwa kushindwa kulipa.
Tunavuna tulichopanda.
 
Yule 'Dhaifu' huwa anatoa wapi pesa ya kusafiria nchi za nje kila uchao wakati nchi haina pesa?
 
Mkuu acha kutetea upuuzi hiyo habari ya Mwanahalisi ingekuwa ya uongo NSSF wangeenda mahakamani, na kwa nini hiyo sheria ya kujitoa at 55 imelazimishwa kama si kunusuru hali ya hiyo mifuko?

Unae tetea upuuzi ni wewe, kwani hiyo sheria ya miaka 60 sio 55 umeambiwa inaitwa "sheria ya nssf?" hiyo sheria inaitwa sheria ya mifuko ya jamii ambayo ipo mingi takriban 7 lakini inaoenekana "sheria ya nssf" na wala sio sheria ya PPF, LAPF,PSPF, GAPF, NHIC, nk

Well ofcoz jibu unalo kwa sababu NSSF inaongozwa na mswahili!
 
Mimi ni muathirika namba moja, nimechangia pspf kwa 9yrs, sasa nimerudi nssf. Wameninyima kapesa kangu. Sina hata kadi yao je watoto wangu itakuwaje?
 
Kwa hali hii bora kujipanga na kufanya biashara kuliko kuajiriwa kwa kuwa hata ukifkia huo umri wanaoutaka wao watakuwa wanakulipa kidogo kidogo na sio lumsum ambayo unaweza kufanyia mradi
 
tuibane SSRA na sera zao mbaya, miaka 55 au 60 kutakuwa na chama kingine na serikali nyingine, wanataka kutuibia na kupotea mapema.. asikubali mtu kuibiwa tukikubali tu tutaachiwa mashimo matupu pesa yote itakombwa..jino kwa jino hakuna mambo ya chukua chako mapema hapa....tumeelewana?
 
Wakuu kama mnavyokumbuka katika riport ya mkaguzi mkuu ilionesha kua PPF na NSSF wanakaribia kufilisika kutokana na serikali kushindwa kulipa mkopo wa mabilion ya hela kutoka PPF na NSSF.Fedha hizi walitumia kujenga chuo kikuu Dodoma.Kutokana na hilo basi wameamua kubana guvukazi yaani vijana ili wasichukue hela pindi wanapobadilisha au kuacha kazi.Pia baada ya mikaka mingi baadhi ya kumbukumbu hupotea na hivyo watalipa mafao kidogo.Watakaofariki kabla ya umri wa kustaafu hawana chao.Warithi pia itakua ngumu kufuatilia mafao.Ukichangia haulipwi Riba yeyote licha ya miradi mingi inayoendeshwa na mifuko hiia.Inabidi waathirika wote tuungane kupinga hili
 
Hii sheria ni unafiki tu, wizi mtupu. Pesa za uwekezaji ni kwa manufaa ya mabosi wa mifuko na wafanyabiashara wasio waaminifu. Hebu CAG aulize bei za ardhi zinazonunuliwa na mifuko hii ya kijamii iko inflated vibaya. Wafuatilie hayo na pia wafuatilie utajiri wa mabosi hao na ndugu zao. Hii kitu ni mbaya sana.

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
CUF au CDM mje na sera nzuri haki mnapata nchi dak 2 tu kura zoote zenu!acha hawa wakawe kama Kanu!wajifunze
 
kama ni hivyo iwe hiari kujiunga (ili wabaki na wale wanaokubaliana na hili sharti) siyo kutubana wakati tulishaingia tayari
 
Nilihisi kuna mechanism ya itatumika kuziba hili pengo. Nilidhani wataiba tena kwenye akaunti kubwa. Huu ni ukomavu wa nafsi. Tabia ya wizi huanza na udokozi, ukibaka, ujambazi, umafia ...... Mwanzoni huwa ni kujificha ila sasa uko wazi kabisa.
 
sio confirmed mkuu,..wanasema serikali inafikiria kupeleka muswada bungeni nafikiri juu ya hili.
Hii imeshakuwa sheria na mkuu wa kaya keshasaini. Bunge liljadili suala hili April 7, 2012. Kura ikapigwa walio wengi wakasema: Ndiooooooooooooooooooo! wachache wakasema: Hapanaaa! Mimi nashauri pawe na mass strike tukiongozwa na TUCTA vinginevyo serikali haitasikia!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom