Mkuu nimepata wasaa wa kuisikiliza. Sema sasa tatizo ni nini? Mchango mdogo na mafao tele au?
NSSF, We protect your future.
dola 300 kwa mwaka, hakuna longo longo wala nini
mtu akifa tunamsafirisha, kwa gharama za NSSF toka jimbo lolote lile atakapokuwa, pamoja na ticket ya BURE kwa ajili ya msindikizaji
sasa haya mambo ya kuchangishana kwenye blogs na kupeana account number kiholela yatakuwa hakuna
sina mengi ya kusema..tazameni Video hapo chini:
Daraja lina uhusiano gani na hili? Hilo ni swali nzuri kwa wizara ya ujenzi na magufuli kwani ndiyo wafuataliaji!. Kingine cha kuelimishana ni kwamba hii siyo Investment kubwa kwa NSSF kwani pesa inatoka kwa Watanzania waishio nje kabla hata ya kupata huduma yeyote!!. Hii ni Bima ambayo NSSF itatengeneza pesa! na sio kutoa pesa kama kwenye barabara. NSSF wanatakiwa kufanya vitu kama hivi vya kuongeza maisha ya wananchi kwenye afya na uchumi badala ya mambo ya madaraja.