Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 4,667
- 5,716
Sasa iyo ni kwa wafanyakazi mimi niliejiajiri itakuaje chief 😆mmbo magumuUnawezaje kumzungusha mtu kwa delays zinazohusisha wafanyakazi wa ndani(wa nssf) na wakati mtu ametimiza kila taratibu za kisheria. Tuweni serious tuache kutetea uzembe. Mfano kuna waajiri hawapeleki michango ya wafanyakazi wao mpaka miaka 2 halafu hapo utasema kuna utendaji lazi? Ukizingatia sheria ipo wazi kua mfanyakazi kila mwezi akatwe 10% na muajiri 10% sasa kwa nini mpaka inafika miaka 2 nssf wako wapi wasifanye ukaguzi wanakula tuu hela za walipa kodi