Wasi wasi wangu ni kama ataweza kutmika ipasavyo kama ilivyokua hapo kabla maana kiuchezi ni too mechanical thus kuhitaji mwili zaidi, sasa kama amejonhezea majukumu ya mwili mmwingine (ambayo ni haki yake ya msingi) hapo niu changamoto...nina uzoefu wa wachezaji walioshuka viwango baada yA KUoa kama vile Uhurru Selemani, Salum Kanoni, Musa Mgosi, na wengineo, kadhalika mchezaji Mrishi Ngasa alishauriwa na Zola aje kuongeza mwili yeye akaongeza mke wa pili..................cha msingi ni jinsi ya kujitafsiri mchezaji na maadili yake........Namtakia kila la heri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.