njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,084
- 8,665
Ni kama vile Suleiman Matola hapendi kusoma hizi kozi bila kujua anajinyima fursa za maana, ndugu yangu Matola, TFF washatangaza hii nafasi nenda kasome sasa we mzee.
Uongozi wa Simba pangeni ratiba kabisa huyu jamaa apewe nafasi akapate cheti hicho, ikibidi hata yule Sebastian Nkoma naye aende akapate hiko cheti.
Tayari una B Diploma malizia tu kipande kilichobaki uwe na A Diploma upunguze aibu ndogondogo kila mara kuambiwa hutambuliki CAF.
Uongozi wa Simba pangeni ratiba kabisa huyu jamaa apewe nafasi akapate cheti hicho, ikibidi hata yule Sebastian Nkoma naye aende akapate hiko cheti.
Tayari una B Diploma malizia tu kipande kilichobaki uwe na A Diploma upunguze aibu ndogondogo kila mara kuambiwa hutambuliki CAF.