Mr the dragon
JF-Expert Member
- Apr 14, 2017
- 1,919
- 3,646
Wadau kuna hela niliiokota njiani imeandikwa 50 billion noti ya Zimbabwe ina thamani gani?
Nilipoiokota sikutilia maanani sana, maana nimekuwa nikisikia story za hela ya Zimbabwe kutokuwa na thamani. Na haikuniingia akilini billioni hamsini iwe kwenye noti moja tu. Hivyo, sikuitunza ikapotea.
Leo kwenye story za hapa na pale na jamaa yangu,akaniambia eti nimetupa mamilioni ya hela. Nimejaribu kugoogle thamani yake katika USD inaniletea pesa nyingi sana.
Ndio nikaona niulize wajuvi thamani ya hii hela.
Nilijaribu kuipiga picha japo haionekani vizuri.
Nilipoiokota sikutilia maanani sana, maana nimekuwa nikisikia story za hela ya Zimbabwe kutokuwa na thamani. Na haikuniingia akilini billioni hamsini iwe kwenye noti moja tu. Hivyo, sikuitunza ikapotea.
Leo kwenye story za hapa na pale na jamaa yangu,akaniambia eti nimetupa mamilioni ya hela. Nimejaribu kugoogle thamani yake katika USD inaniletea pesa nyingi sana.
Ndio nikaona niulize wajuvi thamani ya hii hela.
Nilijaribu kuipiga picha japo haionekani vizuri.