fuundiumeme
Member
- Jan 19, 2012
- 11
- 1
Jk ana kazi kwel kwel
Pana mengi yaliyojificha, ipo siku tutayajua, me nataka kujua mbinu walizotumia ktk kuipa value shiingi Vs $$$ maana mfumuko ulifika 20%, waliwezaje kuurudisha mpaka 15%?? wakati tunaona nyingi ya nchi kubwa zilizofilisika mpaka na leo imewachukua muda na bado hawajaweza kufufua chumi za nchi zao
Ndugu wana JF majuzi kati nimestushwa kuona Noti ambazo zinatakiwa zipotee kwenye mzunguko wa sasa zikiwa mpya yaani kitu kinyukri zinangaa na harufu ile yake ambayo ukiinusha lazima upige chafya... chyaaaa!!
Sasa sielewi why zinatoka wapi au Benki kuu wanaendelea kuzifyaua tena kwa kasi maana jinsi Dollar ya kimarekani inavyozidi kwenda juu hadi kwa statics ikifika Dec Dollar Moja ya Kimarekani itafika 2000 au 2200 BOT wakiendelea na kamchezo kao usioeleweka Sababu ya Kuchapisha Noti Mpya za Zamani na Noti Mpya za Sasa.
Hivi Bunge huwa halishilikishwi kutoa uamuzi wa kuchapisha noti Mpya? yaani Wakiishiwa Pesa dawa ni Kuchapisha tu Hii imekaa Fresh kama Zaire ya Mabutu..
Mkaguzi wa Hesabu sijawahi msikia akitoa Neno kuhusu ukaguzi nawasiwasi Noti Mpya zimechapishwa kwa sababu maalum ya Kisiasa.
Naombeni kujua mwenye ufahamu zaidi na hili linatitatiza sana sababu sioni umuhimu wa Kutumia Pesa Za Aina Mbili Tofauti kwa Muda Mrefu sana
Tatizo huenda kuna mtu yuko nyuma yake.Huyo professor munamuamini au mnaangalia mawaziri tu? Tembelea BOT usikie.
"Ni za kiwango cha juu na haziwezi kufojika"Hivi nani anakumbuka maneno ya majigambo ya ubora wa hizo noti aliyokuwa anayatoa prof. Wakati akizipromote hizo noti?
Huyo professor munamuamini au mnaangalia mawaziri tu?
Tembelea BOT usikie.
Uingereza mpaka mwaka juzi walikuwa wanatumia version mbili za GBP. Sio kitu cha ajabu labda wewe hoja yako ijikite kwenye viwango vya ubora wake na gharama zilizotumika kutengenezea hao mafafaWadau, naomba kufamu juu ya mwenendo nzima wa Noti mpya, nahisi kama kuna kaharufu ka UFISADI. Sijawahi kusikia nchi yoyote ikitumia noti mbili za kiwango kimoja kwa wakati mmoja. Tuliambiwa zitatoweka taratibu lakini mpaka sasa bado zipo na hizi noti mpya zinaonekana kutokuwa na viwango kabisa kana kwamba zimetengenezwa na Publishers wa kariakoo. Hivi hakuna ufisadi hapo? Kama upo nani anatakiwa kuwajibika/kuwajibishwa?