Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
naomba kuuliza,sisi tuliofanya application kwa kutumia mfumo wa cas-tcu tumekuta baadhi ya programs tulizo zichagua zimeandikwa pembeni yake not eligible au not qualified na wkt huo huo tumetimiza vigezo vyote vinvyotakiwa ikiwemo cut off points,alafu kila ukibadilisha ukaweka nyingne unaambiwa vile vile kwamba you are not eligible.sasa nauliza tatizo ni nini mpaka mtu uambiwe hvo na wkt vigezo vyote umetimiza?mfano me niliomba udsm,sua,mzumbe na udom lakin udsm na sua nimeandikiwa nimequalify ila udom na mzumbe nimeandikiwa not qualified,asa jaman tatzo hapo liko wap?naomben mnisaidie kwenye hilo wakuu.