killo
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 401
- 94
Mhusika tafadhali naomba ufuatilie swala hili kwa umakini.
Nondo za ujenzi ni muhimu sana na hasa pale inapokuja wakati wa kumwaga zege kamilifu lakini.
Kuna habari inayoendelea mtaani ( kutola kwa mafundi waashi ) kwamba ukinunua nondo ya size yoyote na kuipima urefu utakuta imepungua kati ya futi 1-3, mhusika tbs tafadhali tuangalizie hili
Nondo za ujenzi ni muhimu sana na hasa pale inapokuja wakati wa kumwaga zege kamilifu lakini.
Kuna habari inayoendelea mtaani ( kutola kwa mafundi waashi ) kwamba ukinunua nondo ya size yoyote na kuipima urefu utakuta imepungua kati ya futi 1-3, mhusika tbs tafadhali tuangalizie hili