Ras
Senior Member
- Mar 16, 2007
- 126
- 6
Nina laptop yangu Toshiba m50 Window 7 premier. Nilikuwa nikiiwasha inaleta black screen kwa muda na maandishi mengimengi hivi then inawaka, lakini leo imeleta hiyo screen nyeusi na kuandika CD-ROM BOOT PRIORITY ...........NO MEDIUM halafu haijaendelea kuwaka nifanyaje Wakuu?? Je ni nini tatizo hasa?? Naomba ushauri wenu Wakuu.:frusty: