NOKIA LUMIA 620: Touch screen haifanyi kazi baada ya kufanya upgrade

Unga wa Kitarasa

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
398
99
Nimekuwa nikitumia vizuri saaana tatizo limejitokeza tuu..,Baada ya ya ku-update operating system mpaka sasa hivi haitachi. Msaada kwa anayejua wakuu..!!

Nashukuru kwa uwepo wenu wakuu, ni hivi nina Nokia lumia 620 yenye windows 8.0 nilikuwa naitumia vizuri hapo awali lakini kuna notification iliniletea kuwa ni upgrade kwenda version 8.1 nilifuata hatua zoote then baada ya kudownload na ku-install new version ilinihitaji ni-reboot baada ya ku-reboot mpaka sasa hivi touch screen yake haifanyi kazi wadau. Shida yangu ni hiyo tuu...
 
nimekuwa nikiitumia vizur saaana tatizo limejitokeza tuu..,Baadaaya ya ku update operating system mpaka sasa hivi haitachi....msaada kwa anayejua wakuu..!!


Hebu eleza vizuri maana mimi kiukweli sijakuelewa

Sent from mTalk
 
Hebu eleza vizuri maana mimi kiukweli sijakuelewa

Sent from mTalk

Na mimi vile vile sijakufahamu

Hujaeleweka bado

nashukuru kwa uwepo wenu wakuu ni hivi nina Nokia lumia 620 yenye windows 8.0 nilikuwa naitumia vizuri hapo awali lakini kuna notification iliniletea kuwa ni upgrade kwenda version 8.1 nilifuata hatua zoote then baada ya kudownload na ku install new version ilinihitaj ni reboot baada ya ku reboot mpaka sasa hivi touch screen yake haifanyi kazi wadau...shida yangu ni hiyo tuu...
 
Hard reset, au soft reset.

Anza na soft reset

Bonyeza cha kupunguza sauti na cha kuwashia simu ikiwa on kwa sekunde kama 10 hadi ijizime na kujiwasha

Hard reset same step ila ongezea na camera key
 
Hard reset, au soft reset.

Anza na soft reset

Bonyeza cha kupunguza sauti na cha kuwashia simu ikiwa on kwa sekunde kama 10 hadi ijizime na kujiwasha

Hard reset same step ila ongezea na camera key

Nimefanya hivyo mkuu ila tatizo liko palepale na nilipitia forums za microsoft wanasema baadhi ya wadau walishakutana na tatizo kama hilo solution wadai ni kudowngrade irudi kwenye 8.0
 
Nimefanya hivyo mkuu ila tatizo liko palepale na nilipitia forums za microsoft wanasema baadhi ya wadau walishakutana na tatizo kama hilo solution wadai ni kudowngrade irudi kwenye 8.0

Rudi sasa unasubiria nini?
 
tatizo ndio linaanzia mkuu naomba kusaidiwa...

windows phone recovery tool Hi ni software ajili ya kudowngrade ...inaka kwenye PC idownload na uistall kwenye PC alafu chomeka lumia yako kwa USB uku PC yako INA modem kwa ajili ya internet...then fuata maelekezo
 
Samahani mto mada nimevamia Uzi Wako nilitaka kujua wndows 10 kwa windows phone ishatoka??? If bado Ni lini itakua released?
 
Samahani mto mada nimevamia Uzi Wako nilitaka kujua wndows 10 kwa windows phone ishatoka??? If bado Ni lini itakua released?

Tutarajie mwezi was kuminambili Huu..ila kama unataka ambayo stable preview unaipata katika slow ring windows insider...ila cha msingi subiria mwisho wa huu mwaka .Microsoft hataki kukosea
 
Tutarajie mwezi was kuminambili Huu..ila kama unataka ambayo stable preview unaipata katika slow ring windows insider...ila cha msingi subiria mwisho wa huu mwaka .Microsoft hataki kukosea


Owh thank you 😊 ngoja nivute subra niliskia mwezi WA tsa nawa kumi na moja mwisho hu WA kum na mbili ngoja tusubiri maana nataman Ni update hata now
 
Madame s kwa sasa unweza kuweka windows 10 kwenye simu...build 10586.29 ipo stable na ndo ninaitumia
 
Lumia.... niliamua kurudi zangu tu kwakina samsung na android yao
 
Madame s kwa sasa unweza kuweka windows 10 kwenye simu...build 10586.29 ipo stable na ndo ninaitumia


Kwani wamsha release mkuu?? Maana nilikua nasubiria wairelease sasa naipataje pataje au na endelea kuchek phone update kila wakati???
 
Kwani wamsha release mkuu?? Maana nilikua nasubiria wairelease sasa naipataje pataje au na endelea kuchek phone update kila wakati???

Download kitu kinaitwa windows insider app kutoka app store then ingia kwenye windows insider jirejist alafu chagua slow ring...then simu itataka kujireboot sema yes baada ya chek for update...itakwambia update available then download hiyo update ni kama gb1.2 baada ya kumaliza bonyeza install update simu itazima alafu itaaza kuonesha ringi kubwa na dogo vinazinguka....sasa hapo iache simu kwenye chaji chukua muvi ya kihindi angalia maana itachukua muda sana hadi utafikiri simu ndo imebuma ..lakini baadae ikimaliza itawaka itafinish updates then utaona interface yake..ni nzuri sana tena sana utafurahi ukiingia app store utakuta app nyingi za pc wanaziita univesall app
 
Hili tatizo nishawahi kutana nalo kwa simu hiyo hiyo. Huwa nalisolve kwa kuchomoa laini na betri then nairudishia.
na kwa wale mnaoufanya updates, msishangae simu inaganda sana kwene hizo spinning gears( sometimes inaeza baki hapo hapo kwene hizo spinning gears). Soln yake ni kutoa memory card wakat unainstall updates. Ukiweza chomoa kabisa na chip yako.
 
Download kitu kinaitwa windows insider app kutoka app store then ingia kwenye windows insider jirejist alafu chagua slow ring...then simu itataka kujireboot sema yes baada ya chek for update...itakwambia update available then download hiyo update ni kama gb1.2 baada ya kumaliza bonyeza install update simu itazima alafu itaaza kuonesha ringi kubwa na dogo vinazinguka....sasa hapo iache simu kwenye chaji chukua muvi ya kihindi angalia maana itachukua muda sana hadi utafikiri simu ndo imebuma ..lakini baadae ikimaliza itawaka itafinish updates then utaona interface yake..ni nzuri sana tena sana utafurahi ukiingia app store utakuta app nyingi za pc wanaziita univesall app
Haina shida lakini nisijeharibu simu yangu bure kwa kiherehere changu
 
Download kitu kinaitwa windows insider app kutoka app store then ingia kwenye windows insider jirejist alafu chagua slow ring...then simu itataka kujireboot sema yes baada ya chek for update...itakwambia update available then download hiyo update ni kama gb1.2 baada ya kumaliza bonyeza install update simu itazima alafu itaaza kuonesha ringi kubwa na dogo vinazinguka....sasa hapo iache simu kwenye chaji chukua muvi ya kihindi angalia maana itachukua muda sana hadi utafikiri simu ndo imebuma ..lakini baadae ikimaliza itawaka itafinish updates then utaona interface yake..ni nzuri sana tena sana utafurahi ukiingia app store utakuta app nyingi za pc wanaziita univesall app
Mkuu kuna feature gan mpya zilizo ongezwa kutoka kwenye Windows 8.1.... Msaada mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom