Francis Jr
Senior Member
- Oct 18, 2010
- 146
- 21
Kwa nini isitangazwe kwamba wakati wa zoezi la sensa serikali itatoa ubwabwa, pilau, kashata na kahawa? Hiyo ni mbinu pekee itakayowavuta hao jamaa.
Taarifa kutoka chanzo Muhimu zinasema kuwa ktk kikao cha Mashekhe na mzee wa Kaya kilichofanyika Juzi Ikulu, Mashekhe waliwekewa Mezani shilling BILLION 5 ili warud kuja kuwaamasisha Waislamu washiriki sensa.
Lkn Jopo la Mashekhe WALIKATAA KUUZA UISLAMU WAO KWA TAMAA ZA KIDUNIA.
...
Mapambano ya kudai HAKI NDIO KWANZAA YAMEANZA.
HAKUNA SENSA BILA KIPENGELE CHA DINI.