No control over Religious radio stations over hate speeches

Mkuu pole sana .Usishangae ya Tanzania .Hawa jamaa wana madai mengi na ni mzigo wa Dunia so wewe twende nao hivyo hivyo .Shule kaka inawapa taabu .Wape pole a hayo ni makelele tu .Hawana lolote maana wakipiga kelele sana na kuanzavurugu sheria ileeee ipo .Na Pengo na wengineo hawana muda wa kuwajibu maana hao wana upeo limited wa kuelewa .Waache tu ili mrad wasianze vurugu .

Unanikumbusha wakati wa utmwa ambapo Wazungu walikuwa hawataki Black America (slavery) waende shule. Matokeo yake, walipoanza kwenda shule wakaanza kuuona ukweli kwamba walinyimwa elimu kwa sababu ya rangi zao.
Mapinduzi ktk Egypt, Tunisia, ambazo hizi nchi zilikuwa zinasaidiwa sana na West kupinga Waislamu wasiwe na sauti kwa kutumia viongozi Madictator kama Mubarak ili kuwakandamiza Waislamu. Leo tunaona Waislamu duniani wanaanza kuuona huo ukweli.

Waislamu wa TZ wameanza kuuona ukweli. Mapinduzi yanakuja, sasa hivi ni kusuburi wakati tu.
 
Haya mambo mie niisha yasema sana humu...waislam ni watu wa ajabu sana. Kwa nini serikali inawaacha wanaleta futo na kisha serikali wanasema wakristo ni wadini? Uvumilivu wa wakristo umefika mwisho na sasa subirini chochote kutokea ikiwa tabia hii itaendelea. Katika mahubiri yao wanaeneza chuki tu, tena wazi wazi, wanatukana ukristo na huwezi sikia wanongelea maendeleo kisha wanaanza kulalamika eti wanapunjwa na wakristo. Huwezi sikia haya yanafanywa na wakristo. Sasa kama ni hivi sie tunazo redio na TV za kikristo nyingi, tunajipanga kuanza kazi na serikali inyamaze hivi hivi, wala tusiisikie ikiingilia kati. Hata wakristo sasa tumeamua kuanza kujifunza kareti nk, kwanza hizo tunazijua sana na ni fani zetu. Nani kawatuma hawa? inaudhi sana kuona serikali inyamazia haya mambo wakati inajua nguvu ya wakristo. Mambo ya imani ni hatari sana..angalia Nigeria, Sudani, Ireland, na sehemu nyingine...nchi inaweza waka moto mara moja!

Kama mnazo hizo TV nini mnachofuata ktk kujua habari za Kiislamu? Nyie ndiyo wachokozi, kwa sababu baada ya kusikiliza redio zenu za kwaya (boring) mnakuja kusikiliza za Waislamu ili mjue kinachoendelea duniani. Sikilizeni redio zenu za kwaya, na Waachieni Waislamu wasikilize redio zao.
 
ubungoubungo,
mkuu kila ninapoandika kitu nakuomba ukisome vizuri kwa makini upate kunielewa vizuri..
Nilisema ile mada haifai uwanja huu kwa sababu nyingi na za maana kwani mada yenyewe ilikuwa ikizungumzia kitendo cha sheikh mmoja kuzungumzia maswala ya chuki na kadhalika ukaijengea msingi hoja nzimakuzungumzia waislaam ni watu wanaotaka kueneza chuki..jambo ambalo sio kweli na nikakupa mfano wa redio ambazo huleta watu wakatukana uislaam kuwa ni dini ya mashetani..ni ujinga kuhukumu wakristu wote kwa sababu ya mtu mmoja. He, only him must be held responsible.



Haya yote ni mawazo ya mtu mmoja ama kikundi fulani ambacho tunaweza kuki hold responsible lakini sio kuanzisha mada inayoonyesha wazi umejifungia ktk sanduku gani... Hutaki kuona nje ya hapo..
Ukichunguza kwa makini zipo redio nyingi sana zimesajiliwa kama redio za dini lakini redio hizi hizi huingilia hata maswala ya siasa nchini na pengine kuhukumu watu, viongozi kutokana na majina yao ya dini tofauti..

Tofauti na redio hizo tunataka kijiwe hiki kiwe na mada zinazozungumzia watanzania na matatizo yetu bila kuwa bias.. Kesho mwanakijiji anaweza kabisa kumhoji mtikila na akatoa maoni yake machafu kuhusiana na uislaaam au akamhoji sheikh naye akatoa maoni yake machafu dhidi ya ukristu, sasa huwezi kumhukumu mwanakijiji kwa nini ametuletea kipindi kama hicho kwa sababu tu yeye ni muumini wa dini gani..yes inawezekana anajaribu kueneza propaganda chafu na tumshtakie kwa hilo..
Kuna upande wa pili wa shilingi ambao unaweza kabisa kusomeka kwamba mwanakijiji amefaya hivyo kuonyesha kwetu kwamba wapo watu wenye chuki na udini pamoja na kwamba hoja ya msingi ilikuwa oic ama mahakama ya kadhi. Ni moja ya sifa ya waandishi kuweza kuibua watu kama hawa na kutuachia sisi wasikilizaji kupima na kuchukua mkondo upi. Watu kama hawa wapo sio ktk dini pekee wapo hata ktk makabila na pengine hata tofuti kat ya matajiri na maskini.
Matusi yamekuwa ni kama vile moja ya mila ya mdanganyika kutokana na umaskini wa akili na mali hivyo badala ya kupandikiza chuki baina ya waumini ni bora sana kusikiliza kisha unapima na kuchambua pumba topka ktk mchele. Hata ahmadinajad na matusi yake bado hupewa nafasi kuongea ktk vyombo vya habari marekani, kwasababu wanakuwa na mwanga zaidi jinsi mtu huyu anavyofikiria, ujinga anaojaribu kuutangaza kama upo...

Nitarudia tena kusema tatizo la udini tanzania lipo na linatakiwa kuwa addressed kama udini lakini usichukue mfano wa mtu mmoja tu muislaam kuonyesha kwamba udini nchini unatengenezwa na waislaam kwa sababu ya tukio moja ulolisikia ktk redio wakati sisi wengine tumekwisha sikia zaidi ya mara moja tena toka viongozi wa juu wa dini zote mbili...
Kweli kabisa serikali inatakiwa kuchunguza redio kama hizi, viongozi kama hawa na hasa pale zinapoendesha mafundisho yenye kujenga chuki baina yetu lakini huwezi kuyahukumu mafundisho pia ...
Kwa mfano kiongozi wa dini fulani anaweza kusema hakuna dini ya kweli isipokuwa dhehebu fulani! Huwezi kwenda peponi bila kufuata blaa blaa blaa!..na wengine wote ni mashetani, wamepotea na kadhalika..

Haya ni matusi makubwa kwa madhehebu mengine ktk lugha ya dini kwa sababu kila dini na dhehebu linafikiria kwamba wao ndio wenye kufuata faradhi za mwenyezi mungu..hivyo kwa mwenye kuelemika atayachukua maelezo hayo na kuyapima kisha unatazama imani ya dini yako na pengine mapungufu yanayozungumziwa kabla hutachukua bunduki na kuanza ku shoot!..haya ni mafundisho yanayotutenganisha sote ktk imani.. Utengano ambao unakubalika na kupokelewa ktk kila jamii kiimani..yapo ya kupuuuzwa kwa sababu ni ujinga, hawafahamu dini yako na kadhalika maana dini ni somo - kitabu, sio watu na wafuasi wake kwa majina.
Mtu akikuita wewe ****** hali usenge wenyewe huna hakuna sababu ya kuhamaki isipokuwa kama kweli wewe ni ****** na uijaribu kuifdanya siri maelezo kama hayo a usenge yatakutoa roho...

Hizo redio waache wajifurahishe, ni msingi wa maskini kwa sababu nimewahi kuzisikiliza sana ni ujinga mtupu..mkuu ebu fikiria kitu kimoja, hivi kweli tunaweza kupigana ati kwa sababu mtu kasema - yesu sio mtoto wa mungu! Au muhammad ni tapeli! Tunatoka mishipa na kutamani kuuana, tunashindwa kuelewa somo zima ni neno la mungu ndilo litakalo kupeleka peponi. Kuamini tu kuwa yesu ni mtoto wa mungu ama muhammad ni msafi kiasi gani ama ukaribu wake kwa mungu wakati tunashindwa kuamini na kufuata mafundisho yaliyopo ktk biblia ama kuran yanayokutaka unyenyekevu na utiifu kwa mola aliyetuumba ni kuto pay attention to goals ambazo vitabu hivi vimekusudia ktk kutuelimisha.
Binafsi nilikwisha sema (kulngana na imani yangu) kwamba dini ni elimu, haijalishi kuwa yesu alikuwa nani au muhammad alikuwa nani isipokuwa ujumbe waliotufundisha..ridhwan ni mtoto wa kiwete...so what? -niamini zaidi kitabu chake kuhusiana na maisha ya kikwete kwa sababu tu ni mtoto wa kiwete au hoja ni ujumbe gani anaotupua kuhusiana na kiwete!..je ni lazima uwe mtoto wa kikwete ndio unaweza kujua vizuri makusudio ya kikwete kwa raia wake!..to me, it doesn't matter kama ni mlevi, tapeli au kipara - hoja ni kile kilichoandika kinahusiana vipi na matakwa ya mungu na kama kinajenga jamii yetu na kutufanya kuwa viumbe bora zaidi!.. Period..
Tusitoane roho kwa imani jamani hakuna hata mmoja wetu anayefahamu, sote tunaamini elimu hii ya uungu kwa kusoma vitabu...na ni muhimu tuvichukulie vitabu hivyo kama njia ya kutupa elimu zaidi badala ya dini kuwa ni sisi waumini wajinga walioingia bila elimu.



ua very circumstantial tupe facts redio gani inasema nini sio tunazunguka ndio maana ya hii forum kuongea kwa uwazi just spit it usiogope hii kuzunguka zunguka sio nzuri redio yeyote ya dini yeyote kama inapandikiza chuki haifai rwanda pia ilianzia huku unaweza usife wewew kwa hizi chuki lakini kizazi chako unakiacha hatarini
 
Wa kulaumiwa hapa ni TCRA na serikali. Ni muhimu sana viongozi husika mjue kuwa kunyamazia matamshi kama haya ni sawa na kuyaunga mkono. Mnaonekana kama ama mnakubali kundi moja la dini nchini linyanyaswe na lingine au mnaogopa kuwachukulia hatua. Tena mjue kuwa wakijibu wakristo kisha mkawachukulia hatua mtakuwa mna-confirm hiyo message mnayosend sasa hivi kwa kukaa kimya. Sheria zipo na zinajulikana, kwa nini hamzitumii?
Hivi, ile jana wakati tunajadili kitu muhimu kama hiki, kuna mtu mmoja anaitwa Mkandara, alikuja akatoa kaushauri kuwa hii mada haifai, hivi haifai kweli? we need to discuss this matter kusema ukweli, kwasababu you know it is not done by only one person, and it is not done one day, inafanyika karibia kila wiki ikiongozwa na watu tofauti. should christian radios also start it? is that what we need here in Tz? kama hapa JF ni mahali pa kurekebisha jamii, kwanini mambo ya hatari kama haya tunayafumbia macho? kwanini mtu mmoja tu ambaye pengine ndiye anayeongoza na kusapoti iyo mijadala ya kusambaza sumu ya uadui anakuja na kusema tuache mada na wewe admin unaiweka kwenye closed topics? kama kitu kunawatachi watu wa dini fulani, mnatakiwa mkiache tu kijadiliwe, hata kama kinawatachi wakristo wanatakiwa wajadiliwe manake hata wao wanazo radio. what we need to do here is to correct our jamii, ili tusije tukajikuta tumeingia pabaya. sasa, the topic is closed, je meseji kwa wahusika au viongozi wa selikali imefika? tunalea ugonjwa? think about this please, na naomba watu wajadili hii mada.

Kwanini radio KHERI ya waislam inahubiri mambo ya kuchochea chuki dhidi ya wakristo? why? kwanini mtu anaishi hapa hapa tz na anaongea kauli kama"Wakristo wakiona waislam tumeanzisha vita, lazima tutawashinda tu manake wao hawana historia ya kutushinda sisi waislam vita" halatu watu tunaona kitu cha kawaida tu. au hatujajifunza toka kwa nchi zingine? NA HII SIO MARA MOJA, IMETOKEA MARA NYINGI SANA, HII RADIO WATU WENGI WAMEILALAMIKIA. kama tunaiona inafanya vyema tu, basi, na wakristo nao waanze.
 
Hivi ile kesi ya kuvunja mabucha ya Nguruwe kule manzese nani alishinda?

a) Serikali,
b) waliovunjiwa maduka
c) waliovunja mabucha.

Chagua jibi lililo sahihi kisha jaza hapa [ ]
 
Hivi, ile jana wakati tunajadili kitu muhimu kama hiki, kuna mtu mmoja anaitwa Mkandara, alikuja akatoa kaushauri kuwa hii mada haifai, hivi haifai kweli? We need to discuss this matter kusema ukweli, kwa sababu you know it is not done by only one person, and it is not done one day.

Inafanyika karibia kila wiki ikiongozwa na watu tofauti, should Christian radios also start it? Is that what we need here in TZ? Kama hapa JF ni mahali pa kurekebisha jamii, kwa nini mambo ya hatari kama haya tunayafumbia macho? Kwa nini mtu mmoja tu ambaye pengine ndiye anayeongoza na kusapoti iyo mijadala ya kusambaza sumu ya uadui anakuja na kusema tuache mada na wewe admin unaiweka kwenye closed topics?

Kama kitu kinawatachi watu wa dini fulani, mnatakiwa mkiache tu kijadiliwe, hata kama kinawatachi wakristo wanatakiwa wajadiliwe manake hata wao wanazo radio. What we need to do here is to correct our jamii, ili tusije tukajikuta tumeingia pabaya.

Sasa, the topic is closed, je meseji kwa wahusika au viongozi wa selikali imefika? Tunalea ugonjwa? Think about this please, na naomba watu wajadili hii mada.

Kwanini radio KHERI ya waislam inahubiri mambo ya kuchochea chuki dhidi ya wakristo? Why? Kwa nini mtu anaishi hapa hapa TZ na anaongea kauli kama"Wakristo wakiona waislam tumeanzisha vita, lazima tutawashinda tu manake wao hawana historia ya kutushinda sisi waislam vita" halatu watu tunaona kitu cha kawaida tu.

Au hatujajifunza toka kwa nchi zingine? NA HII SIO MARA MOJA, IMETOKEA MARA NYINGI SANA, HII RADIO WATU WENGI WAMEILALAMIKIA. kama tunaiona inafanya vyema tu, basi, na wakristo nao waanze?


Inshrot we dont have responsible goverment we are being controlled by Lunatics thats is why even us we are becoming lunatics
 
@ Mwawado- 'Tujitahidi kuepuka malumbano yanayobeza na kutukana dini nyingine...' mi nakubaliana na wewe ila naogopa kama baadhi ya watu wanaheshimu hii issue.

=>Jumapili ya tar. 3/7/2011 wakati naenda saba saba nlimuona abrira kwenye dala dala anasom AN-NUUR nlichokiona moyo wangu ulienda speed, ni matusi ya kiuchochezi kuwatukana wakristo, cjui kwa nini watu waandike kuhusu dini nyingine wakati tuna mambo muhimu ya kuandika, nchi yetu ni masikini tunatakiwa kujadili mikakati maalumu ya namna ya kuondoa umasikini na sio kujadili dini za watu wengine ( ni kukosa kazi na kuishiwa kimawazo)--UPUUUUUUUUUZI mtupu nasema.
MIJADALA YA Mabibo na Sasa Mwenge--- In an open place, Kuna kikundi flani kinajadili na kuikashifu Dini hasa ya ukristo kwa kutumia Biblia--wanasoma mistari na kuijadili---wapuuuzi hawa--badala ya kufanya kazi za uzalishaji mali wanaujadili Ukristo-hawa nimasikini wa mawazo wananiudhi mpaka natamani niwatupie bomb ila kwa vile wana upungufu wa akili i take them as lunatic.

=>Ndugu zangu Waislamu-(wale waelewa mambo), Nakusihini mukionye KIKUNDI hiki kinachojadili na kukashifu Dini za watu wengine wasio Waisilamu-mazara yake mutayasikia na kuyaona.

@ Jamco_za- Nitajie toleo la Tumaini Letu lilotukana Uisilamu, kwani nnaazo kopi zoooooooote, cjawahi ona.

@wewe Ndugu yangu SHY- unalifahamu gazeti la AN NUUR na mijadala ya kikundi flani cha Mabibo Jitegemee na pia kwa sasa kuna kiko Mwenge- they plainly discuss other pple's religions and no one dares telling them to stop. Gazeti hili nimelisoma ni kutukana dini za watu--- hakuna kinachojenga kinaadikwa--Tubadikikeni.

ILI tuwe na amani kwanza watu waache kujadili dini za watu wengine-haswa hadharani kama Mwenge na Mabibo zaidi sana magazetini-kinaniuma saaaaaaaaaaaaaana(wizara ya habari chunguzeni na hatimaye kuyafunga magazeti yanayojadili dini za watu wengine na myafungie mara moja bila kujali ni la dini gani au dhehebu gani)
 
Kuna jambo kubwa sana nimeligundua hususan kwa watu wanaotokea Bara nalo ni kundi fulani kujina bora na lenye wasomi wengi sana na linalotaka kila kitu likiamua basi hata kikiwa nje ya matakwa ya sheria basi lazima yatekelezwe. Hakika hayo ni mawazo potofu sana kujiona wewe mbora kuliko mwenzako. Eleweni kuwa sasa upande wa pili nao wana wasomi wa kutosha sana na wanachambua mambo kwa mapana yake na kutolea maamuzi.

Ni lazima mfahamu nchi yenu inafuata Rules of law, Kuna mabaraza mbalimbali ya kuhakikisha kuwa mtu mmoja au kikundi fulani cha watu hakiwezi kukionea kikundi kingine.

Kwa wale walio bahatika kwenda Viwanja vya sabasaba Dar wakapita banda la TCRA bila shaka walijifunza mengi sana kuhusu uthibiti wa habari na njia halali ya kupeleka malalamiko yako kama unahisi umekashifiwa au hata kukutusi.

Nikipitia vipeperushi nilivyopewa na TCRA wapo wazi kabisaaaaaaa na kama kuna mtu ana malamiko yake kuhusu Radio hizi basi apeleke malalamiko hayo TCRA ambao wana ofisi Dar, Znz, Arusha, Mwanza, Mbeya, dodoma.
email yao ni dg@tcra.co.tz.

wasiliana nao na kama una ushahidi peleka hapo ili sheria ichukue mkondo wake.
 
Back
Top Bottom