Mshana Jr Platinum Member Aug 19, 2012 269,634 697,928 Oct 24, 2014 #2 Yes I saw them all, but the helmets are all below size or else...!!!!
TECHMAN JF-Expert Member May 20, 2011 2,651 1,125 Oct 24, 2014 #4 du, nimependa hizo piki piki, za ukweli.
HIMARS JF-Expert Member Jan 23, 2012 69,369 94,554 Oct 24, 2014 #5 Wanadamu tulipofikia mmmmh Mungu pekee anajua
S SI unit JF-Expert Member Feb 24, 2012 1,953 766 Oct 25, 2014 #6 Ntamwomba baba aninunulie na mimi pikipiki nikiwa mkubwa...lol
Dark City JF-Expert Member Oct 18, 2008 16,253 11,599 Oct 25, 2014 #7 Hivi kuna mtu amezitafute helmet? Naona vile kama macho yanavutwa kwenye aina nyingine ya helmet...lol!!
Hivi kuna mtu amezitafute helmet? Naona vile kama macho yanavutwa kwenye aina nyingine ya helmet...lol!!
bysange JF-Expert Member Jan 11, 2011 4,456 1,563 Oct 25, 2014 #8 ngoja niende nikawe dereva wa bodaboda huko ...
Mshana Jr Platinum Member Aug 19, 2012 269,634 697,928 Oct 25, 2014 #9 bysange said: ngoja niende nikawe dereva wa bodaboda huko ... Click to expand... Ntakusaidia ishu ya passport
bysange said: ngoja niende nikawe dereva wa bodaboda huko ... Click to expand... Ntakusaidia ishu ya passport
M makubazi JF-Expert Member Feb 15, 2013 2,047 362 Oct 25, 2014 #10 Ama kweli cha mtu mavi yaani kwa raha zao na kwa kujinafas bila kinyongo na raha zao za dunia na bila ya woga wa matrafik
Ama kweli cha mtu mavi yaani kwa raha zao na kwa kujinafas bila kinyongo na raha zao za dunia na bila ya woga wa matrafik
Oscar Escano Member Feb 2, 2012 32 13 Oct 26, 2014 #11 Watu wanapata ajali kwa kuvutiwa kuangalia warembo, walio nusu uchi. Pamoja na kupetipetiwa na abiria hao wa kike. Helmet siyo kigezo cha kuzuia ajali isitokee. Helmet itasaidia tu mtu asipasue fuvu lake.
Watu wanapata ajali kwa kuvutiwa kuangalia warembo, walio nusu uchi. Pamoja na kupetipetiwa na abiria hao wa kike. Helmet siyo kigezo cha kuzuia ajali isitokee. Helmet itasaidia tu mtu asipasue fuvu lake.
VAN HEIST JF-Expert Member Aug 26, 2014 1,434 608 Oct 26, 2014 #12 nivae helmet ili nisione warembo??? hata mimi nisingevaa