Mkuu umeanza vizuri kabisa,maana wewe kama mpiga kura una uhuru wa kutoa maoni yako juu ya wagombea ambao wanatarajia kura yako.Lakini kama great thinker utakiwa kuwa unafahamu mambo yafuatayo:
1.Kupiga kura ni hiari ya mtu,kwa hiyo hata wewe hulazimishwi kumchagua mtu ambaye hujaridhika naye
2.Kwa mazingira yetu,wapiga kura walio wengi si wanachama wa vyama tulivyonavyo,hii ina maana kwamba hata yeye hachaguliwi na wanachadema tu,na kwa hiyo hii hoja yako ilifaa kupata majibu kutoka kwa wapiga kura badala ya kuomba majibu kutoka kwa wanachadema pekee.
3.Ulitakiwa kututhibitishia kwa uhakika kabisa kwamba Dr.Slaa ndiye atakayekuwa mgombea wa urais mwaka 2015,lakini pia kutokana na unafiki wake(kwa mtazamo wako),ulitakiwa kututhibitishia (kwa ushahidi) kuwa bado Dr.Slaa atakuwa bado ndani ya CDM au atakuwa katika siasa hadi wakati huo.
4.Wewe kwa upeo wako wa kuona mbali na mapenzi yako kwa watanzania,ulitakiwa utuambie mgombea mwingine(mbadala) ambaye wewe unaona anafaa kuliko Dr.Slaa.
5.Pamoja na kwamba inaweza kuwa vigumu kuthibitisha tuhuma zote ulizotoa dhidi yake,lakini ulitakiwa kututhibitishia utakatifu wa mgombea mwingine ambaye yeye hana uchafu kama wa Dr.Slaa.
Anyway,kwa kuwa umetoa sababu 5/100 tu,nami naomba niishie hapo kwenye hizo hoja zangu 5 maana mimi sio mwanachadema na hivyo sio kazi yangu kumsafisha Dr.Slaa huo uchafu(kwa mtazaomo wako) wake.Ila kama great thinker nitafarijika sana kama na wewe utazijibu hizo hoja zangu.
rejea kauli yangu ya mwanzo ina meneo yangu ya mwazo kuna maneno "IKIWA" ikiwa haiwezi kuwa na majibu mbdala kama unavyo taka wewe wa nani awe mgombea " ikiwa " inasimama kama condition tu na ikiwa akachaguliwa mwingn mwenye vigezo mtanzania mimi ntampa kura yagu
Nadhani hapa sijakuelewa vizuri,kwani mimi nimekwambia nataka nini,mkuu? Na kama haina majibu mbadala kulikuwa na haja gani kuwataka hao wanaaojiita wanachadema damu wakujibu nini?"IKIWA" ikiwa haiwezi kuwa na majibu mbdala kama unavyo taka wewe
Hey,relax mkuu.Twende taratibu.
Wewe umetoa sababu zako 5...na kwa hakika sijakukatalia,maana ni haki yako kikatiba. Sasa,je,nikishafahamu hiyo "ikiwa"ndio inakukuwa inajibu hoja zangu 5? Halafu mbona ulivyolitumia hilo neno liko wazi sana kiasi kwamba hakuna ujumbe mwingine uliojificha ndani ya sentensi ile? Binafsi sioni kama is a big deal kwa great thinkers kuanza kujadili neno moja"ikiwa",kwani lina tatizo gani?
Nadhani hapa sijakuelewa vizuri,kwani mimi nimekwambia nataka nini,mkuu? Na kama haina majibu mbadala kulikuwa na haja gani kuwataka hao wanaaojiita wanachadema damu wakujibu nini?
kwani mkuu kama mwana chadema au CCM kuna tatizo gani kumjadidili mtu yeyeyto? Tena kwa uhuru huu wa kusema na kusikilizwa?
Tataizo ni kujadiliwa Slaa au tataizo ni wasifu wa Slaa kwa anavyo onekana kwa njee na watu ? Na kama sio wewe basi mimi au wengne?
Mkeo kala leo?MAWAZO HURU
Kwa leo ntataja 20 ila kwa sababu Watnzania sio wapendaji wa kusoma mambo mengi leo ntataja sababu 5 tu
1 Ana UCCM ndani ya damu yake ukiachilia mbali kuwa ana kadi mbili kitu ambacho hata yeye alikili pili yeye akiwa mbunge wa chadema mke wake yulee alikuwa ni Diwani wa CCM kwa hiyo CCM kwake sio haram kama anavyo taka kuwaaminisha wengne
2 Dr slaa ni mzee sana 2015 atakuwa amechakaa sana apumzike kwa roho safi tu abaki kuwa hazina ka chama nchi yetu kwa sasa ina chnagmoto nyingi inahitaji kukimbia kimbia huku na kule
3. Ikiwa aliweza na kuthubutu kusaliti kiapo cha useminary cha kuwa upadri maish yake yote atashindwaje kuislati nchi yetu na wananchi wake?
4. Dr slaa ni mtu mwenye kisilani na mwenye kulipizia -- siasa ni pamoja na kuvumiliana yeye hili limemshinda
Tatizo lenu maendeleo ya nchi hii aua tatizo lenu CCM wananchi wanawashngaa mnavyo ipandia CCM ili muweze kupata umaarufu wata hawajasahau CCM ilivyo wapa amani na utulivu hata kama namlazimisha kuchochea mavuru ,watu wanaoana barabara zinavyo jengwa hata wengine nyinyi mmesomeswha na CCM hiyo hiyo ndo maana wengn wana kadi mbili mbili
MAWAZO HURU
Kwa leo ntataja 20 ila kwa sababu Watnzania sio wapendaji wa kusoma mambo mengi leo ntataja sababu 5 tu
1 Ana UCCM ndani ya damu yake ukiachilia mbali kuwa ana kadi mbili kitu ambacho hata yeye alikili pili yeye akiwa mbunge wa chadema mke wake yulee alikuwa ni Diwani wa CCM kwa hiyo CCM kwake sio haram kama anavyo taka kuwaaminisha wengne
2 Dr slaa ni mzee sana 2015 atakuwa amechakaa sana apumzike kwa roho safi tu abaki kuwa hazina ka chama nchi yetu kwa sasa ina chnagmoto nyingi inahitaji kukimbia kimbia huku na kule
3. Ikiwa aliweza na kuthubutu kusaliti kiapo cha useminary cha kuwa upadri maish yake yote atashindwaje kuislati nchi yetu na wananchi wake?
4. Dr slaa ni mtu mwenye kisilani na mwenye kulipizia -- siasa ni pamoja na kuvumiliana yeye hili limemshinda
MAWAZO HURU
Kwa leo ntataja 20 ila kwa sababu Watnzania sio wapendaji wa kusoma mambo mengi leo ntataja sababu 5 tu
1 Ana UCCM ndani ya damu yake ukiachilia mbali kuwa ana kadi mbili kitu ambacho hata yeye alikili pili yeye akiwa mbunge wa chadema mke wake yulee alikuwa ni Diwani wa CCM kwa hiyo CCM kwake sio haram kama anavyo taka kuwaaminisha wengne
2 Dr slaa ni mzee sana 2015 atakuwa amechakaa sana apumzike kwa roho safi tu abaki kuwa hazina ka chama nchi yetu kwa sasa ina chnagmoto nyingi inahitaji kukimbia kimbia huku na kule
3. Ikiwa aliweza na kuthubutu kusaliti kiapo cha useminary cha kuwa upadri maish yake yote atashindwaje kuislati nchi yetu na wananchi wake?
4. Dr slaa ni mtu mwenye kisilani na mwenye kulipizia -- siasa ni pamoja na kuvumiliana yeye hili limemshinda
Mama yangu! Umeandika nini hiki sasa!?
Are you crazy?Tatizo lenu maendeleo ya nchi hii aua tatizo lenu CCM wananchi wanawashngaa mnavyo ipandia CCM ili muweze kupata umaarufu wata hawajasahau CCM ilivyo wapa amani na utulivu hata kama namlazimisha kuchochea mavuru ,watu wanaoana barabara zinavyo jengwa hata wengine nyinyi mmesomeswha na CCM hiyo hiyo ndo maana wengn wana kadi mbili mbili
Sawa mkuu nimekuelewa.
Jibu basi hoja zangu.