Nna mimba. . .

kuna dada nilimsindikiza kufanya ultrasound mimba yake ikiwa na wiki 12/miezi 3.Alivyomuona mwanae kwenye screen akafurahi hadi machozi yakamtoka.Yaani ni miezi mitatu lkn anaonekana ni mtoto kabisaa.Alikua na furaha saana,na alikua anatuambiaga hiyo ndio mimba yake ya kwanza.Hapo hospital wakampa kijitabu kinachoelezea jinsi mtoto anavyokua huko tumboni ktk kila miezi.Basi akawa anasoma sehemu inayoonesha uwezo alionao mtoto wa miez mitano huko tumboni,kijitabu kilionesha kuwa mtoto wa miez mitano ni mtoto aliyekamilika karibu kila kitu na pia anauwezo wa kuisikia sauti ya mama yake na kuikumbuka.Sasa huyu dada alipofikia hapo akaanza kulia kwa uchungu sana.Akaniambia alishawahi kutoa mimba ya miez mitano hivyo roho inamuuma kujua kuwa kumbe aliua mtoto aliyekamilika kabisa maana eti yeye alijua mimba ya miez mitano kwenda chini ni madamu damu na manyama nyama tu.Kwa kweli nilijisikia vibaya na huyu dada hakuwahi kuniambia hii siri ila damu ya yule kiumbe aliyemuua inamfanya aanze mwenyewe kusema kuwa alishaua mtoto.

OK dont tell me bana!
 
Wifi huyo alikuwa kiboko lol...hana aibu kumsingizia mtu mimba?..afu ya miezi mingi hivyo khaaa.

Saa hii ningekuwa na kakijana ka yule jamaa pale head office yetu nampelekea mwanae ile shule ya kiinglishi huku yeye ananicheck tu!
 
Wife akiwa ana mimba huwa na furahi tu, uwezo wa kumlea mtoto ni nao, sababu za kumzalisha mke wangu nazo, niya ya kumzalisha watoto wengine ninayo, na uwezo wa kuoa mke mwingine azae kama wife ninao :cool2:

I see!!!!!!!!!!!!
 
Haijalishi uliikimbia, mliishia kutoa ama mlilea. Siku mwenzio alipokwambia "Nna mimba". . . "Nahisi/nadhani nna mimba!" ulijisikiaje?

Na wewe mdada/mama ulipogundua/hisi una mimba ulijisikiaje?

Mawazo gani yaliwapitia kichwani??


Just CURIOUS. . . .

what a wonderful day will be if that will happen to me!!!!!
 
Nilimuambia akiwa wa kiume ataitwa konyagi na akiwa wa kike ataitwa reds
 
Binafsi sikuambiwa hadi mtoto alipo zaliwa,na nashukuru Mungu sikuambiwa
maana kwa wakati ule lazima ningeshauri itoke,sikuwa tayari.
 
Started by Lizzy
mimba
Hivi mwanaume kakataa mimba we umelea ya nini? Haki ya nani mi mwanaume hajaniachia mimba nikalea, labda aniachie mtoto hapo angalau!"

Hayo ni maneno ya dada mmoja kwenda kwa mwingine ambae ni mama mtarajiwa. Alikua anamwambia kauli yake ikisuggest kwamba mwanaume anapokimbia/kataa mimba basi kiumbe cha watu kinakosa haki ya kuishi hivyo kitolewe. Hii kitu imenifanya nijiulize. . .

1.Hivi mimba ni ya nani? Ya mwanaume hivyo asipokua tayari kushiriki katika malezi yake basi iondolewe na kutupiliwa mbali?
2.Mimba ni ugonjwa usiozuilika hata watu wasijali wakati wa kupata ila wawe tayari kutumia gharama kuziondoa?
3.Baadhi ya wanawake wa akili za aina gani hata wajiweke katika position za kupata mimba na mwanaume asiyeeleweka huku wakijua fika 'BILA KUWEZESHWA HAWAWEZI'??"

Nasikitika kuona kwamba wanawake wengine wana fikra zilizokaa kinyume nyume na bila huruma wako tayari kuadhibu viumbe ambavyo havikishiriki kwenye mambo na starehe zao binafsi. .....hebu tueleze yaliokusibu dada ha ha ha ha
 
baada tu ya kusex nikamuambia inawezekana nikapata mimba hizi tarehe sio nzuri, akavaa suruali chapchap akaondoka bila kusema neno, na toka siku hiyo hakupokea simu, na mimi baada ya hapo nikapitia pharmacy nikanunua vidonge fulani hivi vya kuzuia mimba, sikupata mimba, baada ya miezi miwili ya bila mawasiliano jamaa akanipigia simu akinitaka tuonane aili anipeleke kwa doctor anaye mjua ili nitoe mimba, nilimkubalia ila sikwenda na nikabadili line ya simu,mapenzi yakaishia hapo

siku hizi tunaonana ila hajui kma nilizaa au ilikuwaje kwa ile mimba nlomwambia

Hahahahaha. . .
Hiyo reaction ni hatari.
 
lizzy nikuulize kitu?

Una mimba? Maana thread za mimba hizi mmmmh!!???

BT nikiwa nayo wala hamtojua!! Someone else is. . . tunahesabu siku tu kwahiyo hata swala la kukataliwa/kutoa halimhusu, i'm just curious.
 
Back
Top Bottom