Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,222
- 2,925
Dah!mie hiyo situation sijakutana nayo bado,
Hope ikinikuta nitakua na majibu lol!
Hope ikinikuta nitakua na majibu lol!
Hahahahaha. . .
Hapo mtoto angezaliwa sijui angekwambia ni premature. . .? Kweli wadada wengine ni noma.
Ilibidi nirudi pale tulikostareheshana nikachukue kwanza tarehe pale afu nikalazimisha mpaka tukaenda hosp kucheki. Kweli alikuwa na mimba! Mwanaume kijasho chembamba nikakumbuka toa, jumlisha, zidisha gawanya haikusaidia kitu mwanangu! Binti alikomaa huyo kila siku ntafanyaje maana wazee wakijua noma! Kikao cha wataalamu na mafundi wa kushauri wakanambia kama kweli ulitumia kinga hapo unapigwa changa la macho! Wakanambia kuna kipimo kimoja sasa kinaweza kutoa mwanga! ULTRA SOUND! Si tukaenda mwana! Salaaaaaaaaaaale ana mimba ya miezi 3 wakati tumemegana hata wiki tatu bado! Tuliachania pale pale hospitali!
Mzima kabisa mkwe. . .
Hehehehehe andaa zawadi tu mkwe.
Nilishangaa sana maana ilikuwa siku moja tu na tulitumia kinga!
Itakua ivi.
View attachment 50535
baada tu ya kusex nikamuambia inawezekana nikapata mimba hizi tarehe sio nzuri, akavaa suruali chapchap akaondoka bila kusema neno, na toka siku hiyo hakupokea simu, na mimi baada ya hapo nikapitia pharmacy nikanunua vidonge fulani hivi vya kuzuia mimba, sikupata mimba, baada ya miezi miwili ya bila mawasiliano jamaa akanipigia simu akinitaka tuonane aili anipeleke kwa doctor anaye mjua ili nitoe mimba, nilimkubalia ila sikwenda na nikabadili line ya simu,mapenzi yakaishia hapo
siku hizi tunaonana ila hajui kma nilizaa au ilikuwaje kwa ile mimba nlomwambia
Ilibidi nirudi pale tulikostareheshana nikachukue kwanza tarehe pale afu nikalazimisha mpaka tukaenda hosp kucheki. Kweli alikuwa na mimba! Mwanaume kijasho chembamba nikakumbuka toa, jumlisha, zidisha gawanya haikusaidia kitu mwanangu! Binti alikomaa huyo kila siku ntafanyaje maana wazee wakijua noma! Kikao cha wataalamu na mafundi wa kushauri wakanambia kama kweli ulitumia kinga hapo unapigwa changa la macho! Wakanambia kuna kipimo kimoja sasa kinaweza kutoa mwanga! ULTRA SOUND! Si tukaenda mwana! Salaaaaaaaaaaale ana mimba ya miezi 3 wakati tumemegana hata wiki tatu bado! Tuliachania pale pale hospitali!
Hahhhhaaaaaa alitaka kukuuzia mbuzi kwenye kiroba huyo.....
Lol, bahati mbaya au nzuri ndivyo inavyotokea kwa wadada wengi...Itakua ivi.
View attachment 50535
Wifi huyo alikuwa kiboko lol...hana aibu kumsingizia mtu mimba?..afu ya miezi mingi hivyo khaaa.Pole mkuu wadada wengine wapu:-*:-*sana
alikuwa kasahau ktk wengi aliowapa mbunye we ulitumia kinga!tatizo mlikuwa wengi halafu wewe ndio una mwelekeo wa maisha!
Nilifurahi sana, na ndiyo moja ya sababu iliyopelekea nimuoeHaijalishi uliikimbia, mliishia kutoa ama mlilea. Siku mwenzio alipokwambia "Nna mimba". . . "Nahisi/nadhani nna mimba!" ulijisikiaje?
Na wewe mdada/mama ulipogundua/hisi una mimba ulijisikiaje?
Mawazo gani yaliwapitia kichwani??
Just CURIOUS. . . .