DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 40,495
- 99,292
Habar wakuu,
Kipind flan Nilipata dili la kusambaza mizigo Ofsini alikoajiriwa mpenz wangu, Baada ya malipo kufanyika wakapungukiwa pesa kiasi flani ya kulipia makufuli ya milango yao.
Wakaomba niwapatie makufuli waende nayo ila hiyo pesa italipwa baadae boss akishafahamishwa kua kulikua na mabadiliko kwny order yao, makufuli yalisahaulika kupigiwa hesabu kwenye Order ya mwanzo. Nikasema sawa haina shida.
Ila Nikawaambia siikopeshi ofisi Bali namkopesha mtu binafsi, biashara ya kudaiana na ofisi skuhizi sifanyi mimi. Jichagueni Ni Nani Deni hili nimuandike,ili shughuli ya kudiana iwe Kati yangu na yeye, sio Tena ofisi.
Basi mpenz wangu ndo akajiweka dhamana kua Ni uhakika ile pesa italipwa, jina la Deni nimuandike yeye.
Kwenye Daftar langu la madeni nikamuandikia mpenz wangu Deni la 80,000.
Aisee Lile Deni limekaa MDA mrefu sana kila nikimuuliza mpenz wangu anasema hiyo pesa haijatoka. Akipewa na boss atalilipa TU haina shida.
Kipind flan Nilipata dili la kusambaza mizigo Ofsini alikoajiriwa mpenz wangu, Baada ya malipo kufanyika wakapungukiwa pesa kiasi flani ya kulipia makufuli ya milango yao.
Wakaomba niwapatie makufuli waende nayo ila hiyo pesa italipwa baadae boss akishafahamishwa kua kulikua na mabadiliko kwny order yao, makufuli yalisahaulika kupigiwa hesabu kwenye Order ya mwanzo. Nikasema sawa haina shida.
Ila Nikawaambia siikopeshi ofisi Bali namkopesha mtu binafsi, biashara ya kudaiana na ofisi skuhizi sifanyi mimi. Jichagueni Ni Nani Deni hili nimuandike,ili shughuli ya kudiana iwe Kati yangu na yeye, sio Tena ofisi.
Basi mpenz wangu ndo akajiweka dhamana kua Ni uhakika ile pesa italipwa, jina la Deni nimuandike yeye.
Kwenye Daftar langu la madeni nikamuandikia mpenz wangu Deni la 80,000.
Aisee Lile Deni limekaa MDA mrefu sana kila nikimuuliza mpenz wangu anasema hiyo pesa haijatoka. Akipewa na boss atalilipa TU haina shida.