Ndo hivo mzee.. tatizo ka hilo lilinikita leo, nimewasiliana na nmb, wameniambia hadi niwe na credit kwenye sim kuanzia 100 na kuendelea ndo nmb mobile banking inafungukaMmmhhh cjakuelewa
Kwani unatumia mtandao ganMmmhhh cjakuelewa
Tangu saa 8 usiku nasumbuka nayo...ni shidaWandugu habari za leo
Samahan NMB Mobile Application inaniambia huduma hiyo kwa sasa haipatikani vipi wenzangu na nyie uko hivihivi au mim mtu.
Msaada tafadhali kwa anaejua
Mkuu kwa upande wako upo sahihi kabisa kwamba wewe unataka kuona tu kama nmb mobile inafunguka, ila hili la kusema kitu cha salary advance linatuhusu sisi tunaowaza nje ya box. sawasawa?Ndugu elewa mada salary advance ya wap,