Njunji siku ya harusi.

Kiranja Mkuu

JF-Expert Member
Feb 18, 2010
4,066
4,085
Hata kama mlikuwa mkimegana kila siku b4 ndoa. Siku ya harusi wote mnakuwa na mihemko na hamu ya ajabu kunjunji na mkeo.
Je utafanyeje ikiwa umeisubiri kwa hamu usiku uingie ili ufaidi uhondo na mkeo halafu ukakuta anavuja damu za mwezi zilizo muanza kutokana na hofu ya harusi?
Je utamega na damu au utafanyeje?
 
Maswali mengine bwana, so ukijua itakuwaje utafanya nini? We umeoa au unataka kuoa, kama bado subiri utapata mafundisho b4 ndoa hayo yote utafundishwa huna haja ya kuleta hapa swali kama hilo
 
Hata kama mlikuwa mkimegana kila siku b4 ndoa. Siku ya harusi wote mnakuwa na mihemko na hamu ya ajabu kunjunji na mkeo.
Je utafanyeje ikiwa umeisubiri kwa hamu usiku uingie ili ufaidi uhondo na mkeo halafu ukakuta anavuja damu za mwezi zilizo muanza kutokana na hofu ya harusi?
Je utamega na damu au utafanyeje?
Ni uzembe wako mwenyewe wa kutopangilia tarehe za shughuli..tena uzembe wa digrii ya juu kabisa..:crazy:
 
Subiri siku ya harusi yako .. au siku utayooa ndio utajua mapenzi bora ni yapi..huwezi fundishwa..Kama binadamu utajua mwenyewe ufanye nini...
 
Hata kama mlikuwa mkimegana kila siku b4 ndoa. Siku ya harusi wote mnakuwa na mihemko na hamu ya ajabu kunjunji na mkeo.
Je utafanyeje ikiwa umeisubiri kwa hamu usiku uingie ili ufaidi uhondo na mkeo halafu ukakuta anavuja damu za mwezi zilizo muanza kutokana na hofu ya harusi?
Je utamega na damu au utafanyeje?

Kama mmeshamegana kwa muda mrefu lazima kuna siku utakuwa ulimega akiwa na damu, so hiyo siyo issue, by the way haina madhara yoyote. Mwaka 2008 tuliwahi kulijidili hilo jambo hapa JF, wadau wengi walisema kama partner wako yuko tayari kukamua na damu siyo tatizo.
 
Back
Top Bottom