Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,066
- 4,085
Hata kama mlikuwa mkimegana kila siku b4 ndoa. Siku ya harusi wote mnakuwa na mihemko na hamu ya ajabu kunjunji na mkeo.
Je utafanyeje ikiwa umeisubiri kwa hamu usiku uingie ili ufaidi uhondo na mkeo halafu ukakuta anavuja damu za mwezi zilizo muanza kutokana na hofu ya harusi?
Je utamega na damu au utafanyeje?
Je utafanyeje ikiwa umeisubiri kwa hamu usiku uingie ili ufaidi uhondo na mkeo halafu ukakuta anavuja damu za mwezi zilizo muanza kutokana na hofu ya harusi?
Je utamega na damu au utafanyeje?