dimaa
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 4,020
- 5,439
Amani ya allah iwe juu yenu.
Katika harakati za maisha, watu wanapambana sana ili kuona wanajikwamuaje katika dimbi la umaskini.
Kila mtu kuna kitu anafikiri ni bora zaidi akikiweka kwenye kitega uchumi, basi kitampatia mafanikio mazuri.
Basi nami niko kwenye tafakuri kubwa, kati ya trekta na bajaji ni kipi bora zaidi?
Njooni tupeane mawazo na uzoefu.
Katika harakati za maisha, watu wanapambana sana ili kuona wanajikwamuaje katika dimbi la umaskini.
Kila mtu kuna kitu anafikiri ni bora zaidi akikiweka kwenye kitega uchumi, basi kitampatia mafanikio mazuri.
Basi nami niko kwenye tafakuri kubwa, kati ya trekta na bajaji ni kipi bora zaidi?
Njooni tupeane mawazo na uzoefu.