Njooni tuandamane !njooni tuandamane ! Njooni tuandamane

Akiri

JF-Expert Member
Sep 21, 2010
1,445
212
NDUGU ZANGU WATANZANIA NATAFUTA WATU WA KUNIUNGA MKONO , ILI TUANDAMANE KUELEKEA IKULU. NATAKA RAIS ATUAMBIE UFUMBUZI WA MASUARA HAYA

MGAWO WA UMEME UTAISHA LINI?
jamani kwa sasa hakuna tunachoingiza shughuri zangu zinategemea umeme na umeme haupo . nimenunua kanga mvuke lakini wapi gharama za mafuta ziko juu
jamani jamani jamani

MFUMUKO WA BEI UNATISHA
bei za bidhaa zinapanda kila siku ndugu zangu naishi na familia ya watu watano na kila siku naacha kodi ya meza 7,000 lakini naambiwa hazitoshi naacha Msimbazi hatoshi jamani? tunaenda wapi? maisha bora yako wapi?

KODI ZA NYUMBA ZINAPANDA KIHORELA
mwenye nyumba anaamua tu leo mfano nimepanga vyumba vinne pale kinondoni kwa 300,000 kwa mwezi mwaka umeisha mwenye nyumba kaniambia 380,000 kama sitaki niondoke . nitaenda kushitaki wapi na kiliochangu kikasikilizwa.

nataka kuandamana hadi kwa mkuu JK . HIVI NI KWELI TUNA SERIKARI NA KAMA IPO BASI IAMKE NA KUTUOKOA HASA SUALA LA UMEME. jamani najuuuuuta kuwa mbongo
 
NDUGU ZANGU WATANZANIA NATAFUTA WATU WA KUNIUNGA MKONO , ILI TUANDAMANE KUELEKEA IKULU. NATAKA RAIS ATUAMBIE UFUMBUZI WA MASUARA HAYA

MGAWO WA UMEME UTAISHA LINI?
jamani kwa sasa hakuna tunachoingiza shughuri zangu zinategemea umeme na umeme haupo . nimenunua kanga mvuke lakini wapi gharama za mafuta ziko juu
jamani jamani jamani

MFUMUKO WA BEI UNATISHA
bei za bidhaa zinapanda kila siku ndugu zangu naishi na familia ya watu watano na kila siku naacha kodi ya meza 7,000 lakini naambiwa hazitoshi naacha Msimbazi hatoshi jamani? tunaenda wapi? maisha bora yako wapi?

KODI ZA NYUMBA ZINAPANDA KIHORELA
mwenye nyumba anaamua tu leo mfano nimepanga vyumba vinne pale kinondoni kwa 300,000 kwa mwezi mwaka umeisha mwenye nyumba kaniambia 380,000 kama sitaki niondoke . nitaenda kushitaki wapi na kiliochangu kikasikilizwa.

nataka kuandamana hadi kwa mkuu JK . HIVI NI KWELI TUNA SERIKARI NA KAMA IPO BASI IAMKE NA KUTUOKOA HASA SUALA LA UMEME. jamani najuuuuuta kuwa mbongo

DuH! .... Pole saana ndugu yangu! maana hizo sababu zoote hata ukiandamana si suluhisho maana una watu watano wanakutegemea, wakati unaandamana wao watakusubiri nyumbani upeleke chakula!! mwenye nyumba bado atataka kodi yake kama alivyo kwisha sema na mbaya zaidi ni nyumba ya binafsi sii ya serikali, Mafuta waarabu wameisha pandisha baada ya vurumai za huko kwao.

ushauri ni kukaza boot tu pambana kusaka noti maana una majukumu!! maandamano waachie wasela wasio na wategemezi maana likitokea la kutokea watapoteza kiongozi wa familia anayeleta mkate! nyumbani.
 
DuH! .... Pole saana ndugu yangu! maana hizo sababu zoote hata ukiandamana si suluhisho maana una watu watano wanakutegemea, wakati unaandamana wao watakusubiri nyumbani upeleke chakula!! mwenye nyumba bado atataka kodi yake kama alivyo kwisha sema na mbaya zaidi ni nyumba ya binafsi sii ya serikali, Mafuta waarabu wameisha pandisha baada ya vurumai za huko kwao.

ushauri ni kukaza boot tu pambana kusaka noti maana una majukumu!! maandamano waachie wasela wasio na wategemezi maana likitokea la kutokea watapoteza kiongozi wa familia anayeleta mkate! nyumbani.

Napata wakati mgumu kweli kumeza 'dawa' uliyoisema hapa manake kupona pia napenda, lakini hawa watu watatusikilizaje? Manake inaonekana wameziba masikio kwa gundi ngumu. Na wakati mwingine hawa wasela wanakuwa kama hawana ulazima wa kuandamana coz hata akiokota chipsi kavu njiani siku inakwenda. Sasa mie chipsi hiyo ntamlisha nani na kumuacha nani?
 
Hapa ndipo pa kungundua njisi watanzania walivyo waoga kupigwa mabomu na washawasha -- ha ha ha ha

tuliani tuliwe...
 
DuH! .... Pole saana ndugu yangu! maana hizo sababu zoote hata ukiandamana si suluhisho maana una watu watano wanakutegemea, wakati unaandamana wao watakusubiri nyumbani upeleke chakula!! mwenye nyumba bado atataka kodi yake kama alivyo kwisha sema na mbaya zaidi ni nyumba ya binafsi sii ya serikali, Mafuta waarabu wameisha pandisha baada ya vurumai za huko kwao.

ushauri ni kukaza boot tu pambana kusaka noti maana una majukumu!! maandamano waachie wasela wasio na wategemezi maana likitokea la kutokea watapoteza kiongozi wa familia anayeleta mkate! nyumbani.

Hapana mkuu nadhani nikiandamana nitaondoa duku duku langu moyoni maana nahisi kuumizwa na viongozi wangu, sasa labda watanisikia na ninaamini siko peke yangu . asante kwa kunitia moyo nitakaza buti baada ya maandamano
 
Back
Top Bottom