NDUGU ZANGU WATANZANIA NATAFUTA WATU WA KUNIUNGA MKONO , ILI TUANDAMANE KUELEKEA IKULU. NATAKA RAIS ATUAMBIE UFUMBUZI WA MASUARA HAYA
MGAWO WA UMEME UTAISHA LINI?
jamani kwa sasa hakuna tunachoingiza shughuri zangu zinategemea umeme na umeme haupo . nimenunua kanga mvuke lakini wapi gharama za mafuta ziko juu
jamani jamani jamani
MFUMUKO WA BEI UNATISHA
bei za bidhaa zinapanda kila siku ndugu zangu naishi na familia ya watu watano na kila siku naacha kodi ya meza 7,000 lakini naambiwa hazitoshi naacha Msimbazi hatoshi jamani? tunaenda wapi? maisha bora yako wapi?
KODI ZA NYUMBA ZINAPANDA KIHORELA
mwenye nyumba anaamua tu leo mfano nimepanga vyumba vinne pale kinondoni kwa 300,000 kwa mwezi mwaka umeisha mwenye nyumba kaniambia 380,000 kama sitaki niondoke . nitaenda kushitaki wapi na kiliochangu kikasikilizwa.
nataka kuandamana hadi kwa mkuu JK . HIVI NI KWELI TUNA SERIKARI NA KAMA IPO BASI IAMKE NA KUTUOKOA HASA SUALA LA UMEME. jamani najuuuuuta kuwa mbongo
MGAWO WA UMEME UTAISHA LINI?
jamani kwa sasa hakuna tunachoingiza shughuri zangu zinategemea umeme na umeme haupo . nimenunua kanga mvuke lakini wapi gharama za mafuta ziko juu
jamani jamani jamani
MFUMUKO WA BEI UNATISHA
bei za bidhaa zinapanda kila siku ndugu zangu naishi na familia ya watu watano na kila siku naacha kodi ya meza 7,000 lakini naambiwa hazitoshi naacha Msimbazi hatoshi jamani? tunaenda wapi? maisha bora yako wapi?
KODI ZA NYUMBA ZINAPANDA KIHORELA
mwenye nyumba anaamua tu leo mfano nimepanga vyumba vinne pale kinondoni kwa 300,000 kwa mwezi mwaka umeisha mwenye nyumba kaniambia 380,000 kama sitaki niondoke . nitaenda kushitaki wapi na kiliochangu kikasikilizwa.
nataka kuandamana hadi kwa mkuu JK . HIVI NI KWELI TUNA SERIKARI NA KAMA IPO BASI IAMKE NA KUTUOKOA HASA SUALA LA UMEME. jamani najuuuuuta kuwa mbongo