Tulimumu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 14,305
- 12,969
Mkuu kwani umeambiwa wewe? Hili ni jukwaa la utani na ucheshi kama haikupendezi au haikuchekeshi unaacha kama ilivyo. Kumbuka pia ucheshi na utani huburudisha na elimisha!acha usenge wewe.
Mkuu kwani umeambiwa wewe? Hili ni jukwaa la utani na ucheshi kama haikupendezi au haikuchekeshi unaacha kama ilivyo. Kumbuka pia ucheshi na utani huburudisha na elimisha!acha usenge wewe.
Hii ni dawa kwa mtu anaevaa viatu kwa mara ya kwanza kwani atakuwa anafurahia kuingia ktk ulimwengu mwingine.
Kwa aliyezoe viatu, hii itakuwa shida nyingine mpya.
Mkuu kwani umeambiwa wewe? Hili ni jukwaa la utani na ucheshi kama haikupendezi au haikuchekeshi unaacha kama ilivyo. Kumbuka pia ucheshi na utani huburudisha na elimisha!
Iyo Kali Ko Nivae Vya Mwanangu Iliziniishe Kabisaaaaaaa! Hahahahahahahahahahahahha We Nooouma!
Ya nini kutukana mkuu?