The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 19,254
- 42,873
Mhh!kwa dar hapana aisee...nmezungushwa pale cku 4 ndo nkafankiwa kupokelewa form yangu ad kuchokq
Ningechukua siku hiyo hiyo ya Ijumaa, tatizo muda ulikua umeenda sana nikaishia kuchukua finger print. Jumatatu nimefika pale mapema umeme ukakatika, priting process ikachelewa, kufika saa nane nilikua naelekea airport na passort yangu mpya kabisa.