Hii ni kauli atakayorudi nayo jk akirudi kutoka kwenye mazishi ya Zenawi. Watanzania tu watu wa ajabu sana, tunaweza hata kugombania samadi na kuacha dhahabu!! Nahisi hata Mungu hajishughulishi tena kusikiliza maombi yetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.