Nitampataje mume mwenye vigezo hivi?

Dada yangu alishawahi kunitania kuwa eti niwatongoze wale ninaowapenda na nikitu ambacho siwezi hata kujaribu kufanya. Jamani nisaidieni au ndio niendelee kusubiri ubavu wangu kutoka kwa Mungu?

Naombeni mawazo yenu, pengine nafikiri hadithi za kujenga magorofa hewani.

Sasa hapa huoni kama unaungana kwa namna nyingine na mawazo ya dada yako hivyo umeweza kinyume naulivyoaminini kuwa huwezi...........nikutakie kila kheri!
 
Ningekushauri utafute mwenzi wako kwa kigezo cha upendo na uaminifu na si kwa vigezo ulivyovitoa.

Kwani nina uhakika unaweza kumpata mwenye vigezo kama ulivyovitaja lakini akawa hana upendo wa dhati.
 
Wapendwa nawasalimu!!

Ninatumai kila mtu ana sifa za ama mke au mume anayemtaka, rafiki zangu wa JF, napenda sana nipate mume mwenye vigezo hivyo hapo nilivyovitaja lakini kila siku imekua kinyume kabisa na matarajio yangu.

1. Awe Mkirsto
2. awe mweupe
3. awe na feature ya maisha, kwani fedha hutafutwa
4. awe mrefu wa wastani
5. kuanzia miaka 30 kuendelea

Dada yangu alishawahi kunitania kuwa eti niwatongoze wale ninaowapenda na nikitu ambacho siwezi hata kujaribu kufanya. Jamani nisaidieni au ndio niendelee kusubiri ubavu wangu kutoka kwa Mungu?

Naombeni mawazo yenu, pengine nafikiri hadithi za kujenga magorofa hewani.[/QUOTE


Kweli Susy
 
Back
Top Bottom