cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 497
pole fidel,get well soon!Mpwa naumwa maralia yaani na siku 3 sinywi mpaka usingizi sipati usiku kama leo nimelala macho kabisa mkavuuuuu.
pole fidel,get well soon!Mpwa naumwa maralia yaani na siku 3 sinywi mpaka usingizi sipati usiku kama leo nimelala macho kabisa mkavuuuuu.
Na Kaizer au Fidel?!!ile safari yetu inabidi tuipange upya,safari hii twende kivyetu vyetu!!!
Angalia hommie anarusha kama nchale. Utapata mimba bila kujua. Shauri yako
!!!!!!!!!!!!!
yaani unafeli hata swali la multiple choiceNa Kaizer au Fidel?!!
Itifaki itazingatiwa. Kaizer = loho mtakatifu?....... sawa kabisa lakini si Roho Mtakatifu! Utazaa mapacha, usijesema sikukuonya.hahaa utulivu 0.
yaani kumuombe tu nipate mimba!
basi nitaiifurahia mana itakua ya loho ntakatifu.
Maswali ya kubahatisha huwa siyawezagi. Nisaidie jibu basi.yaani unafeli hata swali la multiple choice
Mwenye mvuto kama FL,
Mpole na mwenye ngozi nyororo kama Lily Flower,
Swagger unyenyekevu na upole kama za JS,
Ateme nondo za ukweli kama WOS,
Mcha Mungu kama Charity,
Mwenye umbile la kibantu kama CheusiMangara.
Mchesi na mwenye kujituma jamvini kama BHT,
Mwenye msimamo usioyumba kama Preta,
Mfia nchi kama Gender Sensitive,
Asijichanganye na jinsia yake kama itei tei lya kite.
Mwenye kujali watoto asiwaache Arusha kama Nyamayao.
Mwenye kuota umilionea kama Binti Maringo.
Awe mshereheshaji wa kicheni Pati ya JF kama Maria Roza
Awe anajua kuimba(Vocalist) kama MAHAI.
Nitampata wapi huyu bibiye.
wala usinionye maana mwenzio kwa kaizer hata sionyeki.Itifaki itazingatiwa. Kaizer = loho mtakatifu?....... sawa kabisa lakini si Roho Mtakatifu! Utazaa mapacha, usijesema sikukuonya.
Maswali ya kubahatisha huwa siyawezagi. Nisaidie jibu basi.