Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 4,475
- 9,928
Ni dada yangu wa mama mmoja ila baba tofauti. Namdai milioni 1.5. Mwaka jana Octoba kuna mishe nilifanya jamaa niliefanya nae kazi Disemba mwishoni akaleta hela home milioni 1.5 ila nilikua nimesafiri kwa sababu anamjua sister akampa ile hela. Sister akaipiga akauchuna.
Nilivyorudi mwezi wa kwanza nimefatilia malipo yangu kwa jamaa ndio akaniambia hela alipeleka home.
Kuulizia home sister kasema ni kweli alipokea iyo hela mambo yakaingiliana akaitumia kwaiyo atanirudishia mwezi wa 3. Mwezi wa 3 ukaisha hajalipa nikaulizia akanipiga sound za kujilizaliza tu.
Ooh baba angekuwepo angenilipia sijui nini nini.. Mpaka leo hajanilipa chochote na wala sioni kama ana mpango huo.
Najua hawezi kulipa kwa mara moja lakini hata kupunguza kidogo kidogo tu hakuna.
Nilijaribu kuwashirikisha wakubwa jibu nililopewa nimeambiwa nimuachie Mungu tu.
Kiukweli hela yangu inaniuma sana mbaya zaidi am jobless kila nikikosa mchongo wa kunilinda hata kwa siku moja tu naikumbuka hela yangu. Bora ningekua na kazi ningeipotezea tu iyo hela.
Nitadai vipi hela yangu hata kwa njia aggresive kidogo? Ana mpango wa kufungua saluni, kuna vifaa vyake vya saluni pale home anapoishi mpaka sasa ninachofikiria ni kwenda kuvichukua ivyo vitu wakati hayupo halafu niiuze kufidia hela yangu.
Nilivyorudi mwezi wa kwanza nimefatilia malipo yangu kwa jamaa ndio akaniambia hela alipeleka home.
Kuulizia home sister kasema ni kweli alipokea iyo hela mambo yakaingiliana akaitumia kwaiyo atanirudishia mwezi wa 3. Mwezi wa 3 ukaisha hajalipa nikaulizia akanipiga sound za kujilizaliza tu.
Ooh baba angekuwepo angenilipia sijui nini nini.. Mpaka leo hajanilipa chochote na wala sioni kama ana mpango huo.
Najua hawezi kulipa kwa mara moja lakini hata kupunguza kidogo kidogo tu hakuna.
Nilijaribu kuwashirikisha wakubwa jibu nililopewa nimeambiwa nimuachie Mungu tu.
Kiukweli hela yangu inaniuma sana mbaya zaidi am jobless kila nikikosa mchongo wa kunilinda hata kwa siku moja tu naikumbuka hela yangu. Bora ningekua na kazi ningeipotezea tu iyo hela.
Nitadai vipi hela yangu hata kwa njia aggresive kidogo? Ana mpango wa kufungua saluni, kuna vifaa vyake vya saluni pale home anapoishi mpaka sasa ninachofikiria ni kwenda kuvichukua ivyo vitu wakati hayupo halafu niiuze kufidia hela yangu.