Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,880
- 2,758
Hii kauli si ngeni masikioni mwenu. Mara nyingi hutamka wanawake. 'nilimpa kila alichotaka' hii kauli hutolewa ktk mapenzi. Nina hofu nayo kwani mwanamke akisema hivyo anamaanisha anampa/alimpa mapenzi halali na haram, so huwa nawaangalia kwa mashaka sana. Wadau mnasemaje